Uchaguzi wa kumpata Naibu Spika kufanyika Februari 11, 2022. Vyama vyakaribishwa kuwasilisha majina ya Wagombea

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
Kila Chama chenye Uwakilishi Bungeni kinachokusudia kushiriki, kinashauriwa kuanza mchakato wa kumpata Mgombea miongoni mwa Wabunge wake

Jina la Mgombea linapaswa kuwasilishwa kwa Msimamizi wa Uchaguzi kabla ya Saa 10:00 Jioni, Februari 10

 
Haya nyama rafiki mmelisikia parapanda hilo?? jipangeni sasa mpeleke justifications.
 
Naibu spika ni lazima awe mbunge.Ni sawasawa na waziri mkuu ambaye naye lazima awe mbunge aliyeingia bungeni baada ya kuchaguliwa na wananchi.
 
Kila chama chenye uwakilishi bungeni!!! Hivi wale wa TLP juzi walikuwa na wawakilishi bungeni??
Tuna hitaji KATIBA MPYA!!!
Spika sio lazima awe mbunge, angeweza kuwa hata Mwijaku.

Naibu spika ni lazima awe mbunge, ndio maana masharti yanasomeka hivyo.
 
Tulia apige miguu yote tupunguze matumizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…