Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Yupo hazina anakula vumbiUnaibu wangempa tu yule mwenye degree 50
Ova
Wale sio wabunge.Yale majina 8 yaendelee
Ni zamu ya wazanzibar.Nadhani hii nafasi wampe tu mzee Mussa Azzan Zungu
Haina shidaNi zamu ya wazanzibar.
Azawadiwe covid 19,ili kuwa na uhakika pale mjengoniHalima James Mdee wa Chadema atafaa!
Kila chama chenye uwakilishi bungeni!!! Hivi wale wa TLP juzi walikuwa na wawakilishi bungeni??
Spika sio lazima awe mbunge, angeweza kuwa hata Mwijaku.Kila chama chenye uwakilishi bungeni!!! Hivi wale wa TLP juzi walikuwa na wawakilishi bungeni??
Tuna hitaji KATIBA MPYA!!!
Natarajia kuona kama sio c19, nimwone kificho au hata badluck wa michingo🏃.Haina shida
Kificho ni mbunge ?Natarajia kuona kama sio c19, nimwone kificho au hata badluck wa michingo🏃.
Anakula uteuzi chap kwa haraka🏃🏃Kificho ni mbunge ?
Huu mwandiko tu😂