Elections 2015 Uchaguzi wa Marejeo Zanzibar ni Huru na Haki! Tuyasubiri Matokeo, Tuyakubali!

Elections 2015 Uchaguzi wa Marejeo Zanzibar ni Huru na Haki! Tuyasubiri Matokeo, Tuyakubali!

Wanabodi,

Kwa jinsi nilivyoshuhudia uchaguzi wa marejeo wa Zanzibar, kwa mujibu wa ITV, uchaguzi huu ulikuwa ni huru na wa haki, hivyo tuyasubiri matokeo na kuyapokea na kuyakubali kwa moyo mmoja!.

Kwa mujibu wa sheria yetu ya uchaguzi, kote bara na visiwani, kujiandikisha kupiga kura ni kwa hiyari, pia kutokujiandikisha pia ni hiyari, vivyo hivyo kujitokeza kupiga kura siku ya uchaguzi pia ni hiyari, na kutokujitokeza pia ni hiyari hivyo wote waliojiandikisha lakini hawakujitokeza, wameamua kuitumia demokrasia yao kwa kutokujitokeza kupiga kura.

Kijitokeza kwao, au kutokujitokeza kwao, hakubadilishi matokeo ya uchaguzi kwa sababu sisi tunafuata mfumo wa simple majority kumpata mshindi. Hata kama jimbo lina wapiga kura laki moja, lakini waliojitokeza kupiga kura ni watu 3, hizo kura tatu zitahesabiwa, aliyepata kua mbili ndiye mshindi halali, na uchaguzi huo utaelezwa ni uchaguzi huru na wa haki!.

Ingekuwa ili mtu uwe mshindi ni lazima angalau upate lets say theluthi moja ya kura zote halali, then hao waliosusa, wangesababisha hiyo theluthi isipatikane hivyo kuathiri zoezi zima la uchaguzi, lakini huku kususa kusiko na impact yoyote, ni wastage of time, ndio maana nikauliza hao CUF wanasusa ili iweje?!.

Uchaguzi wa Zanzibar sasa umemalizika, tusubiri matokeo, tuwapongeze washindi na kuwapa pole washindwa!, tusubiri kuapishwa kwa rais mpya wa Zanzibar na maisha yaendelee, maana kiukweli kelele zilizidi mno!. Tena afadhali uishe ili wale wale MCA wailete ile hukua waliyoizuia ili tuitumie kusonga mbele!.

Pasco
WEWE PASCO UNAELEWA MAANA YA NENO DEMOKRASIA? PIA MAANA YA NENO HURU NA HAKI?
EBU WEKA HAPA KIFUNGU CHOCHOTE CHA KATIBA YA ZANZIBAR KINACHORUHUSU MWENYEKITI WA TUME KUFUTA UCHAGUZI WOTE NA KUITISHA UCHAGUZI WA MARUDIO NCHI NZIMA. UNAWEZA KUAZIMA VIFUNGU KWENYE KATIBA YA JAMUHURI YA MUUNGANO KAMA KIPO KIFUNGU KINACHORUHUSU MWENYEKITI WA TUME KUFUTA UCHAGUZI NCHI NZIMA NAOMBA UKIWEKE HAPA NDIPO UTAKUWA NA UHALALI WA KUSEMA KAMA ZANZIBAR KULIKUWA NA UCHAGUZI HALAFU UNAWEZA KUONGEZA HAYO MANENO HURU NA HAKI
 
Wanabodi,

Kwa jinsi nilivyoshuhudia uchaguzi wa marejeo wa Zanzibar, kwa mujibu wa ITV, uchaguzi huu ulikuwa ni huru na wa haki, hivyo tuyasubiri matokeo na kuyapokea na kuyakubali kwa moyo mmoja!.

Kwa mujibu wa sheria yetu ya uchaguzi, kote bara na visiwani, kujiandikisha kupiga kura ni kwa hiyari, pia kutokujiandikisha pia ni hiyari, vivyo hivyo kujitokeza kupiga kura siku ya uchaguzi pia ni hiyari, na kutokujitokeza pia ni hiyari hivyo wote waliojiandikisha lakini hawakujitokeza, wameamua kuitumia demokrasia yao kwa kutokujitokeza kupiga kura.

Kijitokeza kwao, au kutokujitokeza kwao, hakubadilishi matokeo ya uchaguzi kwa sababu sisi tunafuata mfumo wa simple majority kumpata mshindi. Hata kama jimbo lina wapiga kura laki moja, lakini waliojitokeza kupiga kura ni watu 3, hizo kura tatu zitahesabiwa, aliyepata kua mbili ndiye mshindi halali, na uchaguzi huo utaelezwa ni uchaguzi huru na wa haki!.

Ingekuwa ili mtu uwe mshindi ni lazima angalau upate lets say theluthi moja ya kura zote halali, then hao waliosusa, wangesababisha hiyo theluthi isipatikane hivyo kuathiri zoezi zima la uchaguzi, lakini huku kususa kusiko na impact yoyote, ni wastage of time, ndio maana nikauliza hao CUF wanasusa ili iweje?!.

Uchaguzi wa Zanzibar sasa umemalizika, tusubiri matokeo, tuwapongeze washindi na kuwapa pole washindwa!, tusubiri kuapishwa kwa rais mpya wa Zanzibar na maisha yaendelee, maana kiukweli kelele zilizidi mno!. Tena afadhali uishe ili wale wale MCA wailete ile hukua waliyoizuia ili tuitumie kusonga mbele!.

Pasco
Mkuu...
Shkamkoo... i really like your way of deliverance... ni namna ya kipekee ya kutaka kufukua na kujua hisia za watu... kwa hilo nakupongeza...
Tukirudi kwa mada husika... kama kutokujitokeza kwa cuf... tena kwa hiari zao bro...ambapo hapakuleta impact yeyote... dnt u see that it is hi time for our ccm brethrens in zanzibar to simply ignite colorful celebrations to mark the end of a peaceful election and the begining of a new tenure? Wasishughulike tena na kujitokeza au kutokujitokeza kwa cuf?... it seems like cuf have given way until 2020... maana kama wangelitaka washiriki.. basi tungewaona leo kwa misururu nje ya vituo bro... kama ulivosema... this all will be over by tuesday... na watu wataendelea na maisha yao...
 
Wanabodi,

Kwa jinsi nilivyoshuhudia uchaguzi wa marejeo wa Zanzibar, kwa mujibu wa ITV, uchaguzi huu ulikuwa ni huru na wa haki, hivyo tuyasubiri matokeo na kuyapokea na kuyakubali kwa moyo mmoja!.

Kwa mujibu wa sheria yetu ya uchaguzi, kote bara na visiwani, kujiandikisha kupiga kura ni kwa hiyari, pia kutokujiandikisha pia ni hiyari, vivyo hivyo kujitokeza kupiga kura siku ya uchaguzi pia ni hiyari, na kutokujitokeza pia ni hiyari hivyo wote waliojiandikisha lakini hawakujitokeza, wameamua kuitumia demokrasia yao kwa kutokujitokeza kupiga kura.

Kijitokeza kwao, au kutokujitokeza kwao, hakubadilishi matokeo ya uchaguzi kwa sababu sisi tunafuata mfumo wa simple majority kumpata mshindi. Hata kama jimbo lina wapiga kura laki moja, lakini waliojitokeza kupiga kura ni watu 3, hizo kura tatu zitahesabiwa, aliyepata kua mbili ndiye mshindi halali, na uchaguzi huo utaelezwa ni uchaguzi huru na wa haki!.

Ingekuwa ili mtu uwe mshindi ni lazima angalau upate lets say theluthi moja ya kura zote halali, then hao waliosusa, wangesababisha hiyo theluthi isipatikane hivyo kuathiri zoezi zima la uchaguzi, lakini huku kususa kusiko na impact yoyote, ni wastage of time, ndio maana nikauliza hao CUF wanasusa ili iweje?!.

Uchaguzi wa Zanzibar sasa umemalizika, tusubiri matokeo, tuwapongeze washindi na kuwapa pole washindwa!, tusubiri kuapishwa kwa rais mpya wa Zanzibar na maisha yaendelee, maana kiukweli kelele zilizidi mno!. Tena afadhali uishe ili wale wale MCA wailete ile hukua waliyoizuia ili tuitumie kusonga mbele!.

Pasco

Utulivu si ngao ya kusema uchaguzi wa huru na wahaki,Tuanaelewa udalalo wa Tanganyika kina ITV na wewe kwa visiwa vyetu.saa mbili asubuhi mabox ya kura ya mejaa wakati wapiga kura ndo kwanza kituoni wamefika 5.Jimbo moja halikufika watu ata 500 kupiga kura pemba ila majumuisho watu elf tano funika kombe baba.Tutaendelea kudai haki milele na milele hata kama watanganyika hawapendi
 
mode naomba nisaidie ku edit headline maneno
"Kwa Jinsi Nili" yaondoke, yabaki "Uchaguzi wa Marejeo Zanzibar, Ni Huru na Haki!, Tuyasubiri Matokeo, Tuyakubali!".
ibaki
Pasco,

Weekend hii huwezi kuwapata Mods wamepumzika acha watu wakusome nafsi yako ndiyo ilikusudia hivyo macho yamekataa kuona hayo maneno.
 
Wanabodi,

Kwa jinsi nilivyoshuhudia uchaguzi wa marejeo wa Zanzibar, kwa mujibu wa ITV, uchaguzi huu ulikuwa ni huru na wa haki, hivyo tuyasubiri matokeo na kuyapokea na kuyakubali kwa moyo mmoja!.

.....
Pasco
Uchaguzi wowote ambao "Tume huru" itamtangaza mgombea wa nafasi ya urais kuwa ni mshindi ni lazima "uwe ni huru na haki". Kama uchaguzi utashindwa kukidhi kipengele hiki "uchaguzi wa marudio" ambao utahakikisha nchi haitolewi kwa vikaratasi ni lazima. Historia ya tokea 1995 imejiandika hivyo.

Eee bana we! Siku ya hukumu, imesemwa mzazi atamkimbia mwana.
The Noble Qur'an - القرآن الكريم
 
Kuna waandishi wa ajira na waandishi wa wito, wale wa ajira wakiteuliwa hukubali na kufurahi, ila sisi waandishi wa wito, kuandika ndio furaha yetu, hatutaki uteuzi wowote!.

Pasco
Ahahahahahah "moyo wa mtu kichaka"
 
nchi hii kuna waandishi feki hahaha utashangaa huyu leo alikwenda kanisani,utashangaa kwaresima hii amefunga,utashangaa ijumaa alikwenda kusali njia ya msalaba so sad
 
Pasco unataka tusubiri matokeo ya nini wakati watu wameshajichagua tayari?hapo mshindi ni ccm hizi zingine unazosema sijui uchaguzi huru na wa haki hicho ni kiini macho tu,
Safari hii naona umehamia Lumumba kabisa
 
Kama hujui kuwa kosa halirekebishwwi na kosa kuna tatizo kwenu,Wazazi wako hawawezi kuwa na mtoto mjinga namna hii, mmoja atakuwa chizi mwenye akili kidogo atakuwa mpumbavu.
 
Back
Top Bottom