Uchaguzi wa Marekani 2024: Donald Trump ndiye chaguo la Mungu

Uchaguzi wa Marekani 2024: Donald Trump ndiye chaguo la Mungu

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Kama wapinzani wake wangekuwa wanamwamini Mungu, wangeachana na mpango wao wa hila wa kutafuta kumkwamisha Trump kushinda kiti cha Urais mwezi Novemba mwaka huu, 2024. Hawatafanikiwa katika hilo asilani!

Kwa mujibu wa "Wachungaji" mbalimbali wenye kipawa cha kuuona ulimwengu wa roho, Donald Trump ndiye chaguo la Mungu katika uchaguzi ujao utakaofanyika mwishoni mwa mwaka huu.

Kulingana na matukio yaliyomtokea hivi karibuni ambayo karibia yote yalitanguliwa kutabiriwa kabla ya kutukia, kunamfanya hata mtu asiyeamini katika utabiri alazimike tu kuamini.

Nitatoa baadhi ya hizo tabiri kutoka kwa baadhi ya wahubiri waliomtamtabiria.
 
Mwaka 2007, Kim Clemence alisema kuwa Mungu kamwonesha kuwa Trump atakuwa Rais wa Marekani. Sina uhakika kama kipindi hicho Trump alikuwa na mpango wa kugombea Urais wa Marekani. Lakini kwa kuwa huo unabii ulikuwa unetoka kwa Mungu, Trump alishindwa uchaguzi wa Marekani mwaka 2016. Itakumbukwa kuwa kipindi hicho wengi walifikiri huenda Hillary Clinton angeushinda huo uchaguzi, lakini mambo yakawa tofauti kwa kuwa Mungu alishamchagua mahindi miaka mingi kabla ya huo uchaguzi.
 

Attachments

  • Kim_Clement_Trump_Prophecies_in_2007___Prophetic_Rewind___House_Of_Destiny_Network(144p).mp4
    6.7 MB
Uebert Angel alishamtabiria mambo kadhaa na yote yakatimia.

1. Kabla ya kushtakiwa mahakamani alishaliona hilo na akalisema. Mungu alimwambia kuwa maadui wa Trump wanamtengenezea mitego ya kumkwamisha kwenye mbio za Urais lakini hawatafanikiwa. Mungu aliiweka wazi kuwa atawashangaza mahakamani kwa kumpa Trump ushindi. Huo unabii ulitimia kama ulivyotabiriwa na Uebert Angel

2. Jaribio la mauaji alilitabiri tokea mwaka 2022, na akarudia tena mwaka huu. Hilo nalo limeshatimia.

Ni wazi kuwa unabii wake ni sahihi kwa asilimia mia moja.
 

Attachments

  • BREAKING!_⚠️_TRUMP_ASSASSINATION_attempt_was_Prophesied_by_PROPHET_UEBERT_ANGEL_before_it_happ...mp4
    4 MB
  • “The_SHARPEST_Prophet”_🎯TRUMP’s_prophecy_Timeline_PRECISION_📈_EXPLAINED_😱(144p).mp4
    4.8 MB
  • DONALD_TRUMP_WINS_as_Prophesied_by_Prophet_Uebert_Angel_-_Supreme_Court_immunity_#Trump(144p).mp4
    1.5 MB
  • PRAY_FOR_DONALD_TRUMP___Prophet_Uebert_Angel(144p).mp4
    7.1 MB
Jonathan yeye alitabiri mwezi Februari mwaka huu kuwa kitakuweko na jaribio la kumwua Trump, kama ambavyo ilikuja kutukia mwezi Julai mwaka huu. Kwa hiyo inawezekana kijana aliyehusika kufanya hilo jaribio alitumwa na maadui wa Trump. Pengone, askari aliyemwua huyo kijana alifanya hivyo kwa makusudi ili kuficha ushahidi.
 

Attachments

  • APOSTLE_JONATHAN_LAGANG_PROPHECY_ON_DONALD_TRUMP_AND_THE_2024_US_PRESIDENTIAL_ELECTION(144p).mp4
    2.9 MB
Kama wapinzani wake wangekuwa wanamwamini Mungu, wangeachana na mpango wao wa hila wa kutafuta kumkwamisha Trump kushinda kiti cha Urais mwezi Novemba mwaka huu, 2024. Hawatafanikiwa katika hilo asilani!

Kwa mujibu wa "Wachungaji" mbalimbali wenye kipawa cha kuuona ulimwengu wa roho, Donald Trump ndiye chaguo la Mungu katika uchaguzi ujao utakaofanyika mwishoni mwa mwaka huu.

Kulingana na matukio yaliyomtokea hivi karibuni ambayo karibia yote yalitanguliwa kutabiriwa kabla ya kutukia, kunamfanya hata mtu asiyeamini katika utabiri alazimike tu kuamini.

Nitatoa baadhi ya hizo tabiri kutoka kwa baadhi ya wahubiri waliomtamtabiria.
Chai
 
Mchungaji Brandon yeye aliutoa unabii wake tarehe 14/03/2024. Katika unabii huo, Mungu alimwonesha Trump akiwa kagigwa risasi sikioni jirani kabisa na kichwa. Alimwona Trump akiwa kapiga magoti baada ya kupigwa risasi.

Unabii wake naye ulitimia kama alivyotabiri.
 

Attachments

  • Did_March_14_Trump__Ear__Prophecy_Predict_What_Happens_Next____Brandon_Biggs(240p).mp4
    4.3 MB
Trump ni racist convicted felon, mtu yeyote mweusi au minority anayemshabikia lazima atakuwa misinformed or mpuuzi tuu asiye na akili, naona humu wabongo wengi wanamshabikia lakini najua hawamjui kwa hiyo inabidi uwape pass tuu, Trump ana dharau sana watu weusi au chochote ambacho sio white na kila kitu kiko documented na sio story tuu, watu weusi wapumbavu sana
 
Trump ni racist convicted felon, mtu yeyote mweusi au minority anayemshabikia lazima atakuwa misinformed or mpuuzi tuu asiye na akili, naona humu wabongo wengi wanamshabikia lakini najua hawamjui kwa hiyo inabidi uwape pass tuu, Trump ana dharau sana watu weusi au chochote ambacho sio white na kila kitu kiko documented na sio story tuu, watu weusi wapumbavu sana
Cha ajabu,hata shetani anao wampendao.Kumchagulia mtu mzima cha kufanya ni changamoto kubwa sana.
 
Jonathan katoa unabii mwingine kuhusu Trump. Kasema kuwa Mungu kamwonesha kuwa maadui wa Trump bado hawajakata tamaa. Baada ya kushindwa kumwondoa kwa risasi, sasa wataheukia uchawi.

Kwa wale wanaomini katika maombi, na wanataka mpango wa Mungu utimie juu ya Marekani, wanapaswa kuendelea kumwombea Trump pamoja na uchaguzi wa Marekani.
Ikumbukwe kuwa Marekani bado ni kama kiranja wa dunia. Matokea ya uchaguzi wake yanaathiri ulimwengu mzima.
 

Attachments

  • PROPHECY‼️_I_See_a_Witchcraft_Attack_on_Donald_Trump___Apostle_Jonathan_Lagang#Prophecy_#Donal...mp4
    2.7 MB
Hakuna Jambo linasikitisha kama Mungu kuhusishwa na siasa ambazo mtu huna hata ufaham nazo wa kutosha
Lakini ni Mungu, Mjuzi wa yote Ndiye aliyesema Trump ndiye Rais ajaye wa Marekani. Maadam Mjuzi wa yote kashasema hakuhitaji tena mjadala. Wewe subiri tu uthibitisho hapo Novemba 2024, tukijaliwa uzima.
 
Trump ni racist convicted felon, mtu yeyote mweusi au minority anayemshabikia lazima atakuwa misinformed or mpuuzi tuu asiye na akili, naona humu wabongo wengi wanamshabikia lakini najua hawamjui kwa hiyo inabidi uwape pass tuu, Trump ana dharau sana watu weusi au chochote ambacho sio white na kila kitu kiko documented na sio story tuu, watu weusi wapumbavu sana
Mungu haangalii kama binadamu waangaliavyo. Kuna alichokiona kwa Trump ambacho wewe hujakiona. Wakati wewe unayaona mapungufu yake, Yeye (Mungu) anauona uwezo aliomkirimia Trump kwa ajili ya kukamilisha kazi aliyomwagiza kwenda kuifanya aingiapo Ikulu ya White House.
 
Mungu haangalii kama binadamu waangaliavyo. Kuna alichokiona kwa Trump ambacho wewe hujakiona. Wakati wewe unayaona mapungufu yake, Yeye (Mungu) anauona uwezo aliomkirimia Trump kwa ajili ya kukamilisha kazi aliyomwagiza kwenda kuifanya aingiapo Ikulu ya White House.
Watu wa church mnajulikana kwa ujinga, God bless you
 
Mchungaji Brandon yeye aliutoa unabii wake tarehe 14/03/2024. Katika unabii huo, Mungu alimwonesha Trump akiwa kagigwa risasi sikioni jirani kabisa na kichwa. Alimwona Trump akiwa kapiga magoti baada ya kupigwa risasi.

Unabii wake naye ulitimia kama alivyotabiri.
Huyu katabiri vizuri Hadi kupiga sikio risasi.
 
Back
Top Bottom