Uchaguzi wa Marekani 2024: Donald Trump ndiye chaguo la Mungu

Uchaguzi wa Marekani 2024: Donald Trump ndiye chaguo la Mungu

Uebert Angel alishamtabiria mambo kadhaa na yote yakatimia
1. Kabla ya kushtakiwa mahakamani alishaliona hilo na akalisema. Mungu alimwambia kuwa maadui wa Trump wanamtengenezea mitego ya kumkwamisha kwenye mbio za Urais lakini hawatafanikiwa. Mungu aliiweka wazi kuwa atawashangaza mahakamani kwa kumpa Trump ushindi. Huo unabii ulitimia kama ulivyotabiriwa na Uebert Angel

2. Jaribio la mauaji alilitabiri tokea mwaka 2022, na akarudia tena mwaka huu. Hilo nalo limeshatimia.

Ni wazi kuwa unabii wake ni sahihi kwa asilimia mia moja.
Nabii wa uongo. Kashfa za Trump zilikuwa zinafahamika kitambo sana kabla hata haijaingia kwenye siasa. Na wengi wa upande huo unaozungungumzia walitaka aingie kwenye siasa.

Ilikuwa rahisi kufahamu endapo ataingia kwenye siasa, lazima maswali yataulizwa kuhusu matendo yake maovu.

Ndo maana hata ile kashfa yake ya kuhonga muigizaji wa ngono aliyefanya naye ngono isiandikwe kwenye magazeti kabla ya uchaguzi hili asije kukosa kura.

Sishangai akili zenu za ki Mwamposa maana huu utapeli ulianzia marekani maana ulokole umeanzia marekani.

Sema Africa “shit holes “, wamezidisha chumvi, mafuta ie Nwamposa na hata maji hadi kwa TB Joshua.

Pia misukule wengi tu mfano huko kwa tapeli mwingine mwenye kashfa ya ngono pia bwana Gwajiboy.

Need I say more?
 
Mmepotea siku nyingi hamjui tuu
Kama kuijua kwa ufasaha kesho kabla ya kesho ni kupotea, basi huko ni kupotea kunakolipa. Ingekuwaje kama watu wote wangekuwa na uwezo huo?
1. Wasingepata hasara kwenye biashara zao na kazi zao
2. Wasingepata na magonjwa kwa kushtukizwa
3. Wasingedangsnywa
4. Wangejiandae vena na kesho yao
5. Hakuna jambo lingetokea kwao kama surprise!
 
Kama wapinzani wake wangekuwa wanamwamini Mungu, wangeachana na mpango wao wa hila wa kutafuta kumkwamisha Trump kushinda kiti cha Urais mwezi Novemba mwaka huu, 2024. Hawatafanikiwa katika hilo asilani!

Kwa mujibu wa "Wachungaji" mbalimbali wenye kipawa cha kuuona ulimwengu wa roho, Donald Trump ndiye chaguo la Mungu katika uchaguzi ujao utakaofanyika mwishoni mwa mwaka huu.

Kulingana na matukio yaliyomtokea hivi karibuni ambayo karibia yote yalitanguliwa kutabiriwa kabla ya kutukia, kunamfanya hata mtu asiyeamini katika utabiri alazimike tu kuamini.

Nitatoa baadhi ya hizo tabiri kutoka kwa baadhi ya wahubiri waliomtamtabiria.
Shit
 

Attachments

  • HUYU_NDIYE_NABII_ALIYETABIRI_KIFO_CHA_RAIS_MAGUFULI_WIKI_TATU_KABLA(144p).mp4
    7.5 MB
Neno -prophetic (Unabii)

Linamuhusu MTU zaidi.

MTU yeyote anayepitia rangi nyekundu na akawa Ana uwezo wa kuwa na ustahimilivu (stability) na kitoruhusu kukata tamaa , huyu MTU lazima atafanikiwa katika MAISHA na kile anachokiendea.


Unabii unaweza kuutoa kwa MTU yeyote kwa kutazama mtiririko wa maisha yake ktk ( rangi nyekundu)


Rangi nyekundu means sacrifice .

MTU yeyote ambaye yupo tayari kutseka huwa hateseki na MTU ambaye huwa yupo tayari kujitoa kwa watu huwa anainuliwa.


So tujitahidi kuwa na awareness na rangi nyekundu hii ndo hubeba hatima ya MTU ambaye anahitaji the real success.


Ukiangalia masikini ambao wanakimbilia kwa waganga wote hawataki Ku-experience red color.

So Trump in prophetic code - ameruhusu kuwa na rangi nyekundu hivyo atainuliwa kirahisi na kuwa juu in politics and so on.

You don't need apostle or prophet to prophecy ur life's Journey all you need is to trace ur life in red color (sacrifice)
 
Huyu katabiri vizuri Hadi kupiga sikio risasi.
Lakini bado kuna watu watasema alibahatisha tu. Watu wengi hawajui, au wanajua lakini hawataki watu wengine wajue kuwa:
1. Kuna ulimwengu wa roho unaonekana kwa macho ya rohoni tu na kuna ulimwengu wa asili unaoonekana kwa macho ya kawaida

2. Ulimwengu wa roho ndiyo unaoutawala ulimwengu wa asili

3. Kila kitu kinachotokea katika ulimwengu wa asili huanzia ulimwengu wa roho

4. Jambo linapokuwa limetokea katika ulimwengu wa asili linakuwa limeshatokea katika ulimwengu wa roho.

5. Ndiyo maana hata kabla ya Magufuli kuaga dunia nchi ilianza kuomboleza kwanza katika ulimwengu wa roho
 

Attachments

  • HUYU_NDIYE_NABII_ALIYETABIRI_KIFO_CHA_RAIS_MAGUFULI_WIKI_TATU_KABLA(144p).mp4
    7.5 MB
Nabii wa uongo. Kashfa za Trump zilikuwa zinafahamika kitambo sana kabla hata haijaingia kwenye siasa. Na wengi wa upande huo unaozungungumzia walitaka aingie kwenye siasa.

Ilikuwa rahisi kufahamu endapo ataingia kwenye siasa, lazima maswali yataulizwa kuhusu matendo yake maovu.

Ndo maana hata ile kashfa yake ya kuhonga muigizaji wa ngono aliyefanya naye ngono isiandikwe kwenye magazeti kabla ya uchaguzi hili asije kukosa kura.

Sishangai akili zenu za ki Mwamposa maana huu utapeli ulianzia marekani maana ulokole umeanzia marekani.

Sema Africa “shit holes “, wamezidisha chumvi, mafuta ie Nwamposa na hata maji hadi kwa TB Joshua.

Pia misukule wengi tu mfano huko kwa tapeli mwingine mwenye kashfa ya ngono pia bwana Gwajiboy.

Need I say more?
Mkuu, una uhakika ilikuwa ni rahisi kulibaini hilo? Kuna anayeweza kutabiri bila kukosea mtu atakayekuwa Rais wa Tanzania mwaka 2030?

Kabla ya Trump kutangaza nia ya kuutaka Urais wa Marekani, kuna watu walishafahamishwa hilo na Mungu
 

Attachments

  • Kim_Clement_Trump_Prophecies_in_2007___Prophetic_Rewind___House_Of_Destiny_Network(144p).mp4
    6.7 MB
Nabii wa uongo. Kashfa za Trump zilikuwa zinafahamika kitambo sana kabla hata haijaingia kwenye siasa. Na wengi wa upande huo unaozungungumzia walitaka aingie kwenye siasa.

Ilikuwa rahisi kufahamu endapo ataingia kwenye siasa, lazima maswali yataulizwa kuhusu matendo yake maovu.

Ndo maana hata ile kashfa yake ya kuhonga muigizaji wa ngono aliyefanya naye ngono isiandikwe kwenye magazeti kabla ya uchaguzi hili asije kukosa kura.

Sishangai akili zenu za ki Mwamposa maana huu utapeli ulianzia marekani maana ulokole umeanzia marekani.

Sema Africa “shit holes “, wamezidisha chumvi, mafuta ie Nwamposa na hata maji hadi kwa TB Joshua.

Pia misukule wengi tu mfano huko kwa tapeli mwingine mwenye kashfa ya ngono pia bwana Gwajiboy.

Need I say more?
Huyu yeye alioneshwa kuwa atapigwa risasi sikioni na ikawa hivyo! Hilo tu halikushwishi kuwa mtu kama huyo anajua usichokijua?
 

Attachments

  • Did_March_14_Trump__Ear__Prophecy_Predict_What_Happens_Next____Brandon_Biggs(240p).mp4
    4.3 MB
Kama wapinzani wake wangekuwa wanamwamini Mungu, wangeachana na mpango wao wa hila wa kutafuta kumkwamisha Trump kushinda kiti cha Urais mwezi Novemba mwaka huu, 2024. Hawatafanikiwa katika hilo asilani!

Kwa mujibu wa "Wachungaji" mbalimbali wenye kipawa cha kuuona ulimwengu wa roho, Donald Trump ndiye chaguo la Mungu katika uchaguzi ujao utakaofanyika mwishoni mwa mwaka huu.

Kulingana na matukio yaliyomtokea hivi karibuni ambayo karibia yote yalitanguliwa kutabiriwa kabla ya kutukia, kunamfanya hata mtu asiyeamini katika utabiri alazimike tu kuamini.

Nitatoa baadhi ya hizo tabiri kutoka kwa baadhi ya wahubiri waliomtamtabiria.
hebu wacha uzushi nawewe. Usimuhusishe Mungu katika uchaguzi wa Trump
 
Jonathan yeye alitabiri mwezi Februari mwaka huu kuwa kitakuweko na jaribio la kumwua Trump, kama ambavyo ilikuja kutukia mwezi Julai mwaka huu. Kwa hiyo inawezekana kijana aliyehusika kufanya hilo jaribio alitumwa na maadui wa Trump. Pengone, askari aliyemwua huyo kijana alifanya hivyo kwa makusudi ili kuficha ushahidi.
Kama ukiijua historia ya marekani na mabunduki Yao huwezi shangaa kilichotokea.Watu wanaingia mgahawani na bunduki unategemea
 
Uebert Angel alishamtabiria mambo kadhaa na yote yakatimia.

1. Kabla ya kushtakiwa mahakamani alishaliona hilo na akalisema. Mungu alimwambia kuwa maadui wa Trump wanamtengenezea mitego ya kumkwamisha kwenye mbio za Urais lakini hawatafanikiwa. Mungu aliiweka wazi kuwa atawashangaza mahakamani kwa kumpa Trump ushindi. Huo unabii ulitimia kama ulivyotabiriwa na Uebert Angel

2. Jaribio la mauaji alilitabiri tokea mwaka 2022, na akarudia tena mwaka huu. Hilo nalo limeshatimia.

Ni wazi kuwa unabii wake ni sahihi kwa asilimia mia moja.
Tuondolee huyo tapeli wako Ubert Angel, gold mafia ambaye kila mara unamrejea.
 
hebu wacha uzushi nawewe. Usimuhusishe Mungu katika uchaguzi wa Trump
Kwamba huo uchaguzi ni kitu kikubwa sana au kitu kidogo sana?

Unaelezeaje matukio yaliyotangulia kutabiriwa kabla ya kutukia na yakaja kutimia kama yalivyotabiriwa?
 
Kama ukiijua historia ya marekani na mabunduki Yao huwezi shangaa kilichotokea.Watu wanaingia mgahawani na bunduki unategemea
Ni kweli, Marekani inaweza ikawa ndiyo nchi inayoongoza duniani kwa umiliki holela wa silaha. Lakini kwa tukio lililompata Trump, ambalo kimsingi likitanguliwa na utabiri na hatimaye ukatimia kama ilivyoonekana kwenye huo utabiri, sera mbovu ya umiliki silaha hapo haihusiki.

Alishambuliwa kwa sababu uovu ulishapanga hivyo, na alisalimika kwa kuwa Mungu kamwekea ulinzi wake.
 
Tuondolee huyo tapeli wako Ubert Angel, gold mafia ambaye kila mara unamrejea.
Anaweza akawa ni "tapeli" kwa tafsiri yako, lakini huo "utapeli" hauwezi kuubatilisha ukweli kuwa alichotabiri kilitimia.
 
Kwamba huo uchaguzi ni kitu kikubwa sana au kitu kidogo sana?

Unaelezeaje matukio yaliyotangulia kutabiriwa kabla ya kutukia na yakaja kutimia kama yalivyotabiriwa?
hakuna cha ajabu sana kwenye huo uchaguzi utakaokuja, labda kwa vile Trump atagombea tena kwa mara ya pili ambayo haijawahi kutokea kabla.

Tukio la kukosewa risasi kwa mgombea siyo la kwanza kwa marekani, na huo utabiri ni kama vile mtu amepiga jiwe gizani halafu likampata mtu mwengine kwa bahati mbaya.
 
Kama wapinzani wake wangekuwa wanamwamini Mungu, wangeachana na mpango wao wa hila wa kutafuta kumkwamisha Trump kushinda kiti cha Urais mwezi Novemba mwaka huu, 2024. Hawatafanikiwa katika hilo asilani!

Kwa mujibu wa "Wachungaji" mbalimbali wenye kipawa cha kuuona ulimwengu wa roho, Donald Trump ndiye chaguo la Mungu katika uchaguzi ujao utakaofanyika mwishoni mwa mwaka huu.

Kulingana na matukio yaliyomtokea hivi karibuni ambayo karibia yote yalitanguliwa kutabiriwa kabla ya kutukia, kunamfanya hata mtu asiyeamini katika utabiri alazimike tu kuamini.

Nitatoa baadhi ya hizo tabiri kutoka kwa baadhi ya wahubiri waliomtamtabiria.
Hakuna sera yoyote ya Trump inayopingana na neno la Mungu ikiwemo ile ya asiyefanya kazi na asile. Utaachaje kupendwa na Mungu?
 
Back
Top Bottom