Tetesi: Uchaguzi wa ndani CHADEMA wakigawa chama. Mbowe adaiwa kuwashughulikia wanaoutaka uenyekiti

Tetesi: Uchaguzi wa ndani CHADEMA wakigawa chama. Mbowe adaiwa kuwashughulikia wanaoutaka uenyekiti

utaifakwanza

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2013
Posts
14,193
Reaction score
2,813
Wakuu salaam.

Taarifa za ndani nilizozipata kutoka kwa mnyetoshaji wangu aliyepo CHADEMA makao makuu zinaeleza kwamba kuna mgo goro mkubwa umeibuka ndani ya chadema hivi sasa ambapo chama hicho kipo kwny uchaguzi wa ndani na chanzo cha yote haya ni mwenyekiti aliyepo madarakani hv sasa mh Freeman mbowe kuwashughulikia wasiomuunga mkono na wale wanaotaJwa kugombea nafasi hiyo.

Mbowe anatumia gharama kubwa ikiwamo pesa na madaraka kuwafinya wote wanaoonekana kumbua kichwa na kwa kuwawekea maboya katika maeneo Yao wasifurukute kkwenye chaguzi ngazi za chini hususan majimbo mikoa n.a. kanda ambapo ndio wanapatikana wapiga kura as mkutano mkuu wa taifa.

Hakika mbowe ni king muswati na huenda aakafia kwenye kidonda kama nzi
 
hata huku wasio endana na kasi za chama na serikali wana shughulikiwa... hivyo sio habari hiyo... katibu mwenezi...
 
Kwenye chama chenu m/kiti wenu waga anagombea na nani. Kumbe umbeya hainaga jinsia hata wanaume wambeya wapo tu.

Unashindwa kuandika mambo muhimu yanayoweza kusaidia nchi unakuja kuandika upumbavu. Hopeless kabisa wewe.
Hata kama hakuna wanaegombea naye bado wakati ukifika humwachia anayefuata. Hawawi king'ang'anizi!
 
Ni jambo zuri CHADEMA kuwa na mgogoro na kuleta mpasuko

Ya kwenu yamewashinda mwakimbilia CHADEMA, Anza kwanza na wa kuja na wliolelewa na chama ukimaliza karibu na huku
 
Kanusha kwa data mkuu. Acha kubwabwaja unatia aibu

Wewe taarifa yako ina DATA zipi kabla hujaomba mwenzako akanushe kwa DATA.

Taarifa uliyoitoa ni kama unaimba kibwagizo cha taarabu ya Hadija KOPA.

Ok, sasa wewe toa DATA ni akina nani ameanza kuwashughulikia?
 
Wewe taarifa yako ina DATA zipi kabla hujaomba mwenzako akanushe kwa DATA.

Taarifa uliyoitoa ni kama unaimba kibwagizo cha taarabu ya Hadija KOPA.

Ok, sasa wewe toa DATA ni akina nani ameanza kuwashughulikia?
Heko Mkuu kwa kumpa ukweli wake huyo kada wa CCM
 
Mbowe hawezi kuachia uongozi, amekosa urais halafu aje kuachia uenyekiti ili awe nani sasa maana kule kijijini kwetu hawezi kupata hata uenyekiti wa mtaa.
 
Wakuu salaam.

Taarifa za ndani nilizozipata kutoka kwa mnyetoshaji wangu aliyepo CHADEMA makao makuu zinaeleza kwamba kuna mgo goro mkubwa umeibuka ndani ya chadema hivi sasa ambapo chama hicho kipo kwny uchaguzi wa ndani na chanzo cha yote haya ni mwenyekiti aliyepo madarakani hv sasa mh Freeman mbowe kuwashughulikia wasiomuunga mkono na wale wanaotaJwa kugombea nafasi hiyo.

Mbowe anatumia gharama kubwa ikiwamo pesa na madaraka kuwafinya wote wanaoonekana kumbua kichwa na kwa kuwawekea maboya katika maeneo Yao wasifurukute kkwenye chaguzi ngazi za chini hususan majimbo mikoa n.a. kanda ambapo ndio wanapatikana wapiga kura as mkutano mkuu wa taifa.

Hakika mbowe ni king muswati na huenda aakafia kwenye kidonda kama nzi
Ujinga mtupu!
 
kuna mgo goro mkubwa umeibuka ndani ya chadema
Vijana muwe makini mnapo andika haya-imagine CDM au CCM wawe na mgogoro MKUBWA halafu taarifa hiyo awe nayo mnyetishaji wako wengine wote wamepiga kufuli. Mbona mnapenda kufanya watu hawana akili bandugu. Halafu huna ushahidi wowote zaidi ya kumtaja huyo mnyetishaji wako.
 
Amri :
1. M/kiti wa ccm ni marufuku kugombea na mtu mwingine
2. Rais aliyepo madarakani harusiwi kupingwa mpaka amalize miaka 10
3. Hurusiwi kuchukua fomu kugombea uenyekiti wakati Kuna rais ambaye lazima apewe uenyekiti
Hiyo ndiyo inayoitwa Demokrasia ndani ya ccm
 
Wakuu salaam.

Taarifa za ndani nilizozipata kutoka kwa mnyetoshaji wangu aliyepo CHADEMA makao makuu zinaeleza kwamba kuna mgo goro mkubwa umeibuka ndani ya chadema hivi sasa ambapo chama hicho kipo kwny uchaguzi wa ndani na chanzo cha yote haya ni mwenyekiti aliyepo madarakani hv sasa mh Freeman mbowe kuwashughulikia wasiomuunga mkono na wale wanaotaJwa kugombea nafasi hiyo.

Mbowe anatumia gharama kubwa ikiwamo pesa na madaraka kuwafinya wote wanaoonekana kumbua kichwa na kwa kuwawekea maboya katika maeneo Yao wasifurukute kkwenye chaguzi ngazi za chini hususan majimbo mikoa n.a. kanda ambapo ndio wanapatikana wapiga kura as mkutano mkuu wa taifa.

Hakika mbowe ni king muswati na huenda aakafia kwenye kidonda kama nzi


Hulaumiki, hizi ndizo akili za ccm na ujinga wao . Eti mwenge umurike mchana jua linawaka tena wa kumurikwa ni maadui , 😛😛😛

Hivi adui gani alimulikwa na mwenge mchana akakamatwa ?? labda POPOBAWA😛😛😛

pc-mwe-735x400.jpg
 
Back
Top Bottom