Tetesi: Uchaguzi wa ndani CHADEMA wakigawa chama. Mbowe adaiwa kuwashughulikia wanaoutaka uenyekiti

Naona umeshakunywa mkojo wa.....kama kumuenzi mumewe, maana huwezi kuandika haya kabla hujanywa mkojo!
 
Mkuu hawatakaa wkuelewe na hii post. Wakisikia jina la Mbowe linatajwa kwa kulaumiwa wako radhi waache wake zao waje wamtetee, subiri uone.
 
Habari ya mjini ni kushuka kwa umaarufu wa Magufuli toka 96% hadi 55% kwa kipindi cha nusu muhula pekee. Je, muhula utakapokamilika si ndiyo umaarufu utashuka hadi 0%?
 
Mbowe hawezi kuachia uongozi, amekosa urais halafu aje kuachia uenyekiti ili awe nani sasa maana kule kijijini kwetu hawezi kupata hata uenyekiti wa mtaa.

Kwani shida yako ni nini asipoachia?

CCM/TANU/ASP ni miaka karibu 60 sasa hawajawahi kuachia uongozi wa nchi, kwani kuna shida?

Ulivyo wa ajabu mpaka basi, unaweza kung'aka kwa sauti kuu kwa kusema.....si huwa wanashinda uchaguzi!!??

Sawa. Huwa wanashinda uchaguzi. Sasa Mbowe yeye huwa anashinda nini? Je, si kwamba naye hushinda uchaguzi ndani ya chama chake??

Nadhani utakuwa umeona wepesi na ubovu wa hoja yako eeh?
 
ukitaka ujute kuzaliwa hoji au onesha nia ya kugombea uenyekiti wa chadema taifa
 
NI KINA NANI WANASHUGHULIKIWA? WANASHUGHULIKIWA KIVIPI? WANASHUGHULIKIWA NA NINI? MIMI NINACHOJUA UONGOZI WA VYAMA VYA UPINZANI KWA SASA NI MSALABA MKUBWA MNO
 
ni sawa na kuomba ajira kwenye kampuni ya mtu binafsi halafu baada ya muda unataka kumnyanganya bosi wako kampuni yake.
 
Kama anaweza kushawishi watu wakamchagua na kuwanyamazisha wanaompinga sioni shida iko wapi labda kama katiba yao hamruhusu kugombea lkn hizo zingine in sarakasi za uchaguzi tu hata CCM huwa zipo
 
Huyu ni Seyyid Said(SULTANI) wa BANDAVICHAA. Bila shaka hawezi kuachia ngazi hata iweje.
 
Hulaumiki, hizi ndizo akili za ccm na ujinga wao . Eti mwenge umurike mchana jua linawaka tena wa kumurikwa ni maadui , πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›

Hivi adui gani alimulikwa na mwenge mchana akakamatwa ?? labda POPOBAWAπŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›

Kumurika - kumulika
 
Kaaazi kweli kweli walahi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…