mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Unajua siku za hatari kwenye sex kuna rahaa kinomaa ndo maana wanawake wanasahau kabisaaa kujizuia alafu madawa ya kuzuia mimba nayo yana matatizo mengi watu wanataka Rost huku kupika awataki.Yeye mbona mimba yake haikutolewa? Taifa kubwa kama USA linapaswa kutumia teknolojia zake kuzui mimba zisizotarajiwa.
Marekani kuna uchaguzi unaoitwa "MID-TERM ELECTION". Unahusu wabunge wa congress wote na theluthi ya maseneta. Hauhusu marais.Kwani uchaguzi ni mwaka huu?
Hahahawanataka Rost huku kupika awataki.
Kama wakenya.US ni baba wa demokrasia duniani, uchaguzi wake unatazamwa na dunia yote.
Nikukumbushe,Bi crinton alipita kwenye sanduku la kura,,,,wenye nchi wakapanga yao[emoji1787][emoji1787][emoji1787]US ni baba wa demokrasia duniani, uchaguzi wake unatazamwa na dunia yote.
US ni baba wa demokrasia duniani, uchaguzi wake unatazamwa na dunia yote.