Uchaguzi mmeisha uvuluga, mmeengua viongozi wa upinzani , ila elewa mliowaengua katika maeneo mbali mbali mmetengeza chuki na hao watu wenu may be wataongoza watu wa ccm, na hii sasa tunaweza kuludi yale ya zanzimbar kwamba wa ccm wazikane na wa upinzani wazikane ,tuendako ni kubaya sana