LGE2024 Uchaguzi wa Serikali za Mitaa CCM kushinda kwa kishindo

LGE2024 Uchaguzi wa Serikali za Mitaa CCM kushinda kwa kishindo

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Joseph Ludovick

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2013
Posts
364
Reaction score
468
Kwa miaka mingi tangu nianze kushiriki chaguzi ze serikali za mitaa, sijawahi kuona uchaguzi ambao CCM itashinda vijiji, mitaa, na vitongoji vyote kama mwaka huu.

Ukitaka kujua hili tazame mchuano wa kidemokrasia ndani ya CCM, uchukuaji na urudishaji fomu. Naam, nawapa pole wapinzani.

Kwani miaka yote hii hawakujua kuwa mwaka huu kuna uchaguzi?
 
Kwa miaka mingi tangu nianze kushiriki chaguzi ze serikali za mitaa, sijawahi kuona uchaguzi ambao CCM itashinda vijiji, mitaa, na vitongoji vyote kama mwaka huu. Ukitaka kujua hili tazame mchuano wa kidemokrasia ndani ya CCM, uchukuaji na urudishaji fomu. Naam, nawapa pole wapinzani. Kwani miaka yote hii hawakujua kuwa mwaka huu kuna uchaguzi?
Ina maana wewe siyo mtanzania au umsahaulifu sana,2019 ccm walishinda nchi nzima au hukuwepo ndugu
 
Kwa miaka mingi tangu nianze kushiriki chaguzi ze serikali za mitaa, sijawahi kuona uchaguzi ambao CCM itashinda vijiji, mitaa, na vitongoji vyote kama mwaka huu. Ukitaka kujua hili tazame mchuano wa kidemokrasia ndani ya CCM, uchukuaji na urudishaji fomu. Naam, nawapa pole wapinzani. Kwani miaka yote hii hawakujua kuwa mwaka huu kuna uchaguzi?
Una uwezo mdogo sana wa kufikiri halafu uko verified
 
Kwa miaka mingi tangu nianze kushiriki chaguzi ze serikali za mitaa, sijawahi kuona uchaguzi ambao CCM itashinda vijiji, mitaa, na vitongoji vyote kama mwaka huu. Ukitaka kujua hili tazame mchuano wa kidemokrasia ndani ya CCM, uchukuaji na urudishaji fomu. Naam, nawapa pole wapinzani. Kwani miaka yote hii hawakujua kuwa mwaka huu kuna uchaguzi?
Umesahau namba ya simu mkuu...

Usitoke jasho bure
 
Sasa mjipongeze....mmepambana sana kutumia damu za watu kushinda kumbe walaa,hamkutakiwa kutumia nguvu nyingi kiasi hicho wapendwa
 
Kwa miaka mingi tangu nianze kushiriki chaguzi ze serikali za mitaa, sijawahi kuona uchaguzi ambao CCM itashinda vijiji, mitaa, na vitongoji vyote kama mwaka huu. Ukitaka kujua hili tazame mchuano wa kidemokrasia ndani ya CCM, uchukuaji na urudishaji fomu. Naam, nawapa pole wapinzani. Kwani miaka yote hii hawakujua kuwa mwaka huu kuna uchaguzi?
Chawa utawajua tu kwa matendo na maneno yao, sijawahi kukuamini na kukuelewa tangu ulivyoshiriki kuchonga kesi ya ugaidi dhidi ya Muganyizi Lwakatare.
 
Chawa utawajua tu kwa matendo na maneno yao, sijawahi kukuamini na kukuelewa tangu ulivyoshiriki kuchonga kesi ya ugaidi dhidi ya Muganyizi Lwakatare.
Huyu jamaa SI mtu wa kitengo!!!!
 
Kwa miaka mingi tangu nianze kushiriki chaguzi ze serikali za mitaa, sijawahi kuona uchaguzi ambao CCM itashinda vijiji, mitaa, na vitongoji vyote kama mwaka huu.

Ukitaka kujua hili tazame mchuano wa kidemokrasia ndani ya CCM, uchukuaji na urudishaji fomu. Naam, nawapa pole wapinzani.

Kwani miaka yote hii hawakujua kuwa mwaka huu kuna uchaguzi?
Duuu unashaza sana, sasa naamini wewe UNATAFUTA teuzi, japo unajifanya kukanusha.

Wewe na Lucas Mwashambwa ni sawasawa, na ukizingatia mnatoka njia moja,mikoa tofauti tu.

Mkuu haiba Yako haifanani na UPUUZI unaofanya, inatia Shaka..

Maisha yamekupiiga Nini??

Usomi wako wote ni WA bure!

Huna analytical skills,,naona lack of objectivity and particularlity.

Ume draw very wrong conclusion,hamna premises zozote.

Unatia aibu, Mambo kama haya wanapaswa kufanya wajinga wajinga,.

Mbona unaendekeza petty politics za buku buku???

UJINGA NI MZIGO 🤔🤔🤔 🧠
 
Kwa miaka mingi tangu nianze kushiriki chaguzi ze serikali za mitaa, sijawahi kuona uchaguzi ambao CCM itashinda vijiji, mitaa, na vitongoji vyote kama mwaka huu.

Ukitaka kujua hili tazame mchuano wa kidemokrasia ndani ya CCM, uchukuaji na urudishaji fomu. Naam, nawapa pole wapinzani.

Kwani miaka yote hii hawakujua kuwa mwaka huu kuna uchaguzi?
Mtashinda kwa kishindo au mtatangazwa washindi kwa kishindo? Watu wajinga tu ndi hujivunia ushindi wa data za kupika.
 
Kwa miaka mingi tangu nianze kushiriki chaguzi ze serikali za mitaa, sijawahi kuona uchaguzi ambao CCM itashinda vijiji, mitaa, na vitongoji vyote kama mwaka huu.

Ukitaka kujua hili tazame mchuano wa kidemokrasia ndani ya CCM, uchukuaji na urudishaji fomu. Naam, nawapa pole wapinzani.

Kwani miaka yote hii hawakujua kuwa mwaka huu kuna uchaguzi?
Hivi wewe ni LUDOVICK yupi,? Uliyepata ajali na Wangwe?
 
Back
Top Bottom