Joseph Ludovick
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 364
- 468
Ina maana wewe siyo mtanzania au umsahaulifu sana,2019 ccm walishinda nchi nzima au hukuwepo nduguKwa miaka mingi tangu nianze kushiriki chaguzi ze serikali za mitaa, sijawahi kuona uchaguzi ambao CCM itashinda vijiji, mitaa, na vitongoji vyote kama mwaka huu. Ukitaka kujua hili tazame mchuano wa kidemokrasia ndani ya CCM, uchukuaji na urudishaji fomu. Naam, nawapa pole wapinzani. Kwani miaka yote hii hawakujua kuwa mwaka huu kuna uchaguzi?
Una uwezo mdogo sana wa kufikiri halafu uko verifiedKwa miaka mingi tangu nianze kushiriki chaguzi ze serikali za mitaa, sijawahi kuona uchaguzi ambao CCM itashinda vijiji, mitaa, na vitongoji vyote kama mwaka huu. Ukitaka kujua hili tazame mchuano wa kidemokrasia ndani ya CCM, uchukuaji na urudishaji fomu. Naam, nawapa pole wapinzani. Kwani miaka yote hii hawakujua kuwa mwaka huu kuna uchaguzi?
Umesahau namba ya simu mkuu...Kwa miaka mingi tangu nianze kushiriki chaguzi ze serikali za mitaa, sijawahi kuona uchaguzi ambao CCM itashinda vijiji, mitaa, na vitongoji vyote kama mwaka huu. Ukitaka kujua hili tazame mchuano wa kidemokrasia ndani ya CCM, uchukuaji na urudishaji fomu. Naam, nawapa pole wapinzani. Kwani miaka yote hii hawakujua kuwa mwaka huu kuna uchaguzi?
Kwamba walio verified ni vipanga kuliko sisi unverifiedUna uwezo mdogo sana wa kufikiri halafu uko verified
Chawa utawajua tu kwa matendo na maneno yao, sijawahi kukuamini na kukuelewa tangu ulivyoshiriki kuchonga kesi ya ugaidi dhidi ya Muganyizi Lwakatare.Kwa miaka mingi tangu nianze kushiriki chaguzi ze serikali za mitaa, sijawahi kuona uchaguzi ambao CCM itashinda vijiji, mitaa, na vitongoji vyote kama mwaka huu. Ukitaka kujua hili tazame mchuano wa kidemokrasia ndani ya CCM, uchukuaji na urudishaji fomu. Naam, nawapa pole wapinzani. Kwani miaka yote hii hawakujua kuwa mwaka huu kuna uchaguzi?
Huyu jamaa SI mtu wa kitengo!!!!Chawa utawajua tu kwa matendo na maneno yao, sijawahi kukuamini na kukuelewa tangu ulivyoshiriki kuchonga kesi ya ugaidi dhidi ya Muganyizi Lwakatare.
Mtu anaitwa Kaitampunu unategemea nini mkuuChawa utawajua tu kwa matendo na maneno yao, sijawahi kukuamini na kukuelewa tangu ulivyoshiriki kuchonga kesi ya ugaidi dhidi ya Muganyizi Lwakatare.
Duuu unashaza sana, sasa naamini wewe UNATAFUTA teuzi, japo unajifanya kukanusha.Kwa miaka mingi tangu nianze kushiriki chaguzi ze serikali za mitaa, sijawahi kuona uchaguzi ambao CCM itashinda vijiji, mitaa, na vitongoji vyote kama mwaka huu.
Ukitaka kujua hili tazame mchuano wa kidemokrasia ndani ya CCM, uchukuaji na urudishaji fomu. Naam, nawapa pole wapinzani.
Kwani miaka yote hii hawakujua kuwa mwaka huu kuna uchaguzi?
Mtashinda kwa kishindo au mtatangazwa washindi kwa kishindo? Watu wajinga tu ndi hujivunia ushindi wa data za kupika.Kwa miaka mingi tangu nianze kushiriki chaguzi ze serikali za mitaa, sijawahi kuona uchaguzi ambao CCM itashinda vijiji, mitaa, na vitongoji vyote kama mwaka huu.
Ukitaka kujua hili tazame mchuano wa kidemokrasia ndani ya CCM, uchukuaji na urudishaji fomu. Naam, nawapa pole wapinzani.
Kwani miaka yote hii hawakujua kuwa mwaka huu kuna uchaguzi?
Hivi wewe ni LUDOVICK yupi,? Uliyepata ajali na Wangwe?Kwa miaka mingi tangu nianze kushiriki chaguzi ze serikali za mitaa, sijawahi kuona uchaguzi ambao CCM itashinda vijiji, mitaa, na vitongoji vyote kama mwaka huu.
Ukitaka kujua hili tazame mchuano wa kidemokrasia ndani ya CCM, uchukuaji na urudishaji fomu. Naam, nawapa pole wapinzani.
Kwani miaka yote hii hawakujua kuwa mwaka huu kuna uchaguzi?
Mpunu yenyewe ni wewe, kamuone dentist kwanza.Mtu anaitwa Kaitampunu unategemea nini mkuu
Cha kutegemea hapo ni wewe kuolewa na KaitampunuMtu anaitwa Kaitampunu unategemea nini mkuu