anataja wasifu wake, yupo bungeni tangu 75, amekuwa waziri,mkuu wa mikoa, na amekuwa naibu.
Anasema anaweza hiyo nafasi.
Anamshukuru Sitta. Na anaahidi kufata kanuni na kufanya bunge imara, sheria zitakazotungwa zitafatiliwa. Anaomba kura zote,
Vigeregere,
Anaomba kura za chadema pia