Pre GE2025 Uchaguzi wa Tanzania 2025 ni vita vya kijasusi ya mashirika makubwa ya Ulaya, Amerika dhidi ya Russia na Mataifa ya kiarabu

Pre GE2025 Uchaguzi wa Tanzania 2025 ni vita vya kijasusi ya mashirika makubwa ya Ulaya, Amerika dhidi ya Russia na Mataifa ya kiarabu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nimeiona clip ya dokta Tulia alivyojibu Kwa jazba ,nikagundua ndugu yetu huyu hakujua Yale maswali hakuulizwa yeye kama Dr.Tulia Bali msimamo wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuihusu ukraine na washirika wake, akajibu kama anavyowajibu chadema Hapo dodoma mjengoni, kifupi amerusha sandakalawe na mwenye kupata amepata na mwenye kukosa amekosa!

Hivi karibuni kelele za Teka teka,poteza poteza zilivyozidi sana Ubalozi wa marekani ukatoa tamko zito, inaonyesha dhahiri shahiri uhusiano wetu na america plus Europe sio mzuri!

Tunapoenda kwenye uchaguzi CCM Chama changu kinatakiwa kisihangaike kuvidhibiti vyama vya upinzani Bali kudhibiti mashirika ya kijasusi ya US, Europe na Israel yasiingiilie uchaguzi wetu na ku influence ushindi utoke chama gani na kwa nani!

Hapa ndipo kazi kubwa waliyonayo majasusi wa ndani kama watakua radhi kusaliti juhudi za miaka mingi za mashirika hayo ya US, Europe na Israel na ku-favor matakwa ya mwenyekiti mwenye uhusiano mzuri na mashirika ya Russia na Uarabuni plus washirika wake!!

Atakae shinda uchaguzi ujao atafananishwa Mwl Nyerere alieshinda bid ya kusimamia transition ya Tanganyika akisaidiwa na WA missionaries was kanisa katoliki dhidi ya wapinzani wake walioungwa mkono na mashirika mengine ya kijasusi duniani!

Kwa wasiojua ninkwamba Fabian society ilimtaka Thomas Mariale wa uchagani,Vatican ikamtaka Burito kambarage nyerere na CIA ilimtaka chief kidaha was shinyanga, Vatican ya majesuit ilishinda na wengine wakamiunga mkono si Russia Wala Arabs waliiingiza mtu.wao kwenye Ile bid!

Mwakani tunaanza upya kama 1961 alivyoanza Nyerere kuekea kwenye muelekeo mpya na mstakabali wa Taifa hili Tanzania!

Chawa wote wasiishie kutamka mitano Tena Kwa mama Bali wafikiri tutashindaje vita vya kijasusi dhidi ya Wazoefu kwenye medani Mossadi, CIA na M16.

Mwambieni mama asome hii,kama ana ubongo usiochanganywa na sifa za chawa asome Kwa makini alone namna ya kuchanga karata zake!

Majibu ya Dkt. Tulia yameshatoa muelekeo wa mashirika ya ulaya,Us na israel yaegemee upande upi hapo mwakani!!

Kuzima internet nchi nzima hapo 2025 haitisaidia kama Elon musk akielekezwa afanye jambo eneo la maziwa makuu kuhusu internet!!!

Nawaza na kuwazua, nikiwa na KADI ya kielectronic ya CCM na nimejiandikisha tayari!
so deep!

wachache watakwelewa


JESUS IS LORD&SAVIOR
 
Bandiko lako linakosa mantiki bila kuweka hizo interest za US na Europe ni zipi na kwenye nini.

Na interest za Waarabu na Russia ni zipi na kwenye nini.

Na kila upande unataka mtu wao awasaidie nini.
 
Huyu nasikia kashughulikiwa na mtangilizi wake.

lupaso boy na kifimbo ni yeye pia kawafyekelea mbali.
Sasa huyo mtangulizi wake SI ndio mwalimu wa huyu!!?na huyo jamaa inasemekana ninCIA agent Sasa so atakua mbioni kumshughulikia chura kiziwi!!?auii!?
 
Mambo yasipo haribika sana.in voice of born in town.
All the best
 
Sasa huyo mtangulizi wake SI ndio mwalimu wa huyu!!?na huyo jamaa inasemekana ninCIA agent Sasa so atakua mbioni kumshughulikia chura kiziwi!!?auii!?
Sijui kama ni CIA agent, ninasikia ni bonge mafia. Ila Mungu kama kweli yupo, huyu jamaa hatafika mbinguni.
 
Hivi karibuni kelele za Teka teka,poteza poteza zilivyozidi sana Ubalozi wa marekani ukatoa tamko zito, inaonyesha dhahiri shahiri uhusiano wetu na america plus Europe sio mzuri!

Tunapoenda kwenye uchaguzi CCM Chama changu kinatakiwa kisihangaike kuvidhibiti vyama vya upinzani Bali kudhibiti mashirika ya kijasusi ya US, Europe na Israel yasiingiilie uchaguzi wetu na ku influence ushindi utoke chama gani na kwa nani!
Inawezekana hata huo uspika walimpa kimtego bila yeye kujua aina ya nyavu
Hao watu wako mbali sana kiakili
 
Sijui kama ni CIA agent, ninasikia ni bonge mafia. Ila Mungu kama kweli yupo, huyu jamaa hatafika mbinguni.
Kumbuka Obama na Bushi walikuja hapo kigamboni na wakaingia mkataba wa military base!!lakini Kato akawagomea na Sasa kinajengwa kenya!
 
Nimeiona clip ya dokta Tulia alivyojibu Kwa jazba ,nikagundua ndugu yetu huyu hakujua Yale maswali hakuulizwa yeye kama Dr.Tulia Bali msimamo wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuihusu ukraine na washirika wake, akajibu kama anavyowajibu chadema Hapo dodoma mjengoni, kifupi amerusha sandakalawe na mwenye kupata amepata na mwenye kukosa amekosa!

Hivi karibuni kelele za Teka teka,poteza poteza zilivyozidi sana Ubalozi wa marekani ukatoa tamko zito, inaonyesha dhahiri shahiri uhusiano wetu na america plus Europe sio mzuri!

Tunapoenda kwenye uchaguzi CCM Chama changu kinatakiwa kisihangaike kuvidhibiti vyama vya upinzani Bali kudhibiti mashirika ya kijasusi ya US, Europe na Israel yasiingiilie uchaguzi wetu na ku influence ushindi utoke chama gani na kwa nani!

Hapa ndipo kazi kubwa waliyonayo majasusi wa ndani kama watakua radhi kusaliti juhudi za miaka mingi za mashirika hayo ya US, Europe na Israel na ku-favor matakwa ya mwenyekiti mwenye uhusiano mzuri na mashirika ya Russia na Uarabuni plus washirika wake!!

Atakae shinda uchaguzi ujao atafananishwa Mwl Nyerere alieshinda bid ya kusimamia transition ya Tanganyika akisaidiwa na WA missionaries was kanisa katoliki dhidi ya wapinzani wake walioungwa mkono na mashirika mengine ya kijasusi duniani!

Kwa wasiojua ninkwamba Fabian society ilimtaka Thomas Mariale wa uchagani,Vatican ikamtaka Burito kambarage nyerere na CIA ilimtaka chief kidaha was shinyanga, Vatican ya majesuit ilishinda na wengine wakamiunga mkono si Russia Wala Arabs waliiingiza mtu.wao kwenye Ile bid!

Mwakani tunaanza upya kama 1961 alivyoanza Nyerere kuekea kwenye muelekeo mpya na mstakabali wa Taifa hili Tanzania!

Chawa wote wasiishie kutamka mitano Tena Kwa mama Bali wafikiri tutashindaje vita vya kijasusi dhidi ya Wazoefu kwenye medani Mossadi, CIA na M16.

Mwambieni mama asome hii,kama ana ubongo usiochanganywa na sifa za chawa asome Kwa makini alone namna ya kuchanga karata zake!

Majibu ya Dkt. Tulia yameshatoa muelekeo wa mashirika ya ulaya,Us na israel yaegemee upande upi hapo mwakani!!

Kuzima internet nchi nzima hapo 2025 haitisaidia kama Elon musk akielekezwa afanye jambo eneo la maziwa makuu kuhusu internet!!!

Nawaza na kuwazua, nikiwa na KADI ya kielectronic ya CCM na nimejiandikisha tayari!
Kwani zaidi ya hiyo elimu yake ya Sheria anao uweledi wa mawasiliano na waandishi wa habari na hadhira nyingine zaidi ya eneo la Sheria na diplomasia ya kuishi na wasiokupenda au wasio na msimamo Sawa na wako
 
Nimeiona clip ya dokta Tulia alivyojibu Kwa jazba ,nikagundua ndugu yetu huyu hakujua Yale maswali hakuulizwa yeye kama Dr.Tulia Bali msimamo wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuihusu ukraine na washirika wake, akajibu kama anavyowajibu chadema Hapo dodoma mjengoni, kifupi amerusha sandakalawe na mwenye kupata amepata na mwenye kukosa amekosa!

Hivi karibuni kelele za Teka teka,poteza poteza zilivyozidi sana Ubalozi wa marekani ukatoa tamko zito, inaonyesha dhahiri shahiri uhusiano wetu na america plus Europe sio mzuri!

Tunapoenda kwenye uchaguzi CCM Chama changu kinatakiwa kisihangaike kuvidhibiti vyama vya upinzani Bali kudhibiti mashirika ya kijasusi ya US, Europe na Israel yasiingiilie uchaguzi wetu na ku influence ushindi utoke chama gani na kwa nani!

Hapa ndipo kazi kubwa waliyonayo majasusi wa ndani kama watakua radhi kusaliti juhudi za miaka mingi za mashirika hayo ya US, Europe na Israel na ku-favor matakwa ya mwenyekiti mwenye uhusiano mzuri na mashirika ya Russia na Uarabuni plus washirika wake!!

Atakae shinda uchaguzi ujao atafananishwa Mwl Nyerere alieshinda bid ya kusimamia transition ya Tanganyika akisaidiwa na WA missionaries was kanisa katoliki dhidi ya wapinzani wake walioungwa mkono na mashirika mengine ya kijasusi duniani!

Kwa wasiojua ninkwamba Fabian society ilimtaka Thomas Mariale wa uchagani,Vatican ikamtaka Burito kambarage nyerere na CIA ilimtaka chief kidaha was shinyanga, Vatican ya majesuit ilishinda na wengine wakamiunga mkono si Russia Wala Arabs waliiingiza mtu.wao kwenye Ile bid!

Mwakani tunaanza upya kama 1961 alivyoanza Nyerere kuekea kwenye muelekeo mpya na mstakabali wa Taifa hili Tanzania!

Chawa wote wasiishie kutamka mitano Tena Kwa mama Bali wafikiri tutashindaje vita vya kijasusi dhidi ya Wazoefu kwenye medani Mossadi, CIA na M16.

Mwambieni mama asome hii,kama ana ubongo usiochanganywa na sifa za chawa asome Kwa makini alone namna ya kuchanga karata zake!

Majibu ya Dkt. Tulia yameshatoa muelekeo wa mashirika ya ulaya,Us na israel yaegemee upande upi hapo mwakani!!

Kuzima internet nchi nzima hapo 2025 haitisaidia kama Elon musk akielekezwa afanye jambo eneo la maziwa makuu kuhusu internet!!!

Nawaza na kuwazua, nikiwa na KADI ya kielectronic ya CCM na nimejiandikisha tayari!
Hivi vyuo cha Chama kivukoni na Diplomasia Kurasini viliundwa Kwa madhumuni maalumu, sasa hivi kila kitu Chuo cha Elimu ya juu
 
Hivi vyuo cha Chama kivukoni na Diplomasia Kurasini viliundwa Kwa madhumuni maalumu, sasa hivi kila kitu Chuo cha Elimu ya juu
Havina support tena!coz siku hizi teuzi zinajali uchawa na sio usomi,ukiwa msomi sana na critical thinker unakua adui wa mwenyekiti!!
 
Back
Top Bottom