Allen Theonest
JF-Expert Member
- Jun 18, 2017
- 400
- 491
Kwa hiyo badala yake wajumbe wamechagua mtu wa Simba?Yanga yule, viongozi wenye mapenzi na timu hawafai sawa na ccm tu upendeleo kibao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo badala yake wajumbe wamechagua mtu wa Simba?Yanga yule, viongozi wenye mapenzi na timu hawafai sawa na ccm tu upendeleo kibao.
Amepigiwa kura za MaruhaniKama ally mayai matembele hajashinda mie roho kwatuuuu
Wambura kapambana kweli kweli mwishowe kuingia TFF. Tusubiri sasa tuone Kama kweli alikuwa ana nia ya kuongoza mpira na kuleta mafanikio ama kujinufaisha. Time will tell.Huyu Michael wambura hadi amekuwa makamu wa rais after long fight mana alikuwa na damu sijui ya kuonewa au kukataliwa, upele umepata wakunaji naona, milele na milele tutabaki kuwa wasindikizaji kwenye soka
Sent using Jamii Forums mobile app
Huko unakoenda sasa unataka damu imwagike. Zero tena?Ningeshangaa sana kama wajumbe wangemchagua Ally Mayay. Kwanza kugombeagombea huku kunaweza kufukua siri zako, maana nakumbuka alipokuwa anacheza Yanga alifanya mtihani wa kidato cha sita akapata division zero. Watu wanaweza kuanza kufuatilia aliingiaje katika graduate and postgraduate studies
Akate Rufaa....Ila MAYAY kaachwa kwa kura nyingi sana....
Kaliaaa 95, MAYAY 9 ...
Duuuuuuuu......
Sent using Jamii Forums mobile app
Wallace anaonekana mtu makini tatizo langu wingi wa kura kama influence kimtindo sema jamaa anaonekana ni mtu makini . Tatizo ni kwa wambura jamaa mjuaji sana naona kama mzinguaji
Mkuu unawafahamu watu wanaoitwa WATU WA MPIRA? Hao watu wa mpira wana ka syndicate kao hawataki watu wapya waingie kuchungulia kule kuna nini.Kura zingepigwa kwa kutotumia hawa wajumbe wachumia tumbo Ali Mayai angeshinda maana wanamichezo wa zamani waliungana kumpigia debe Ali lakini wapiga Kura wameacha keki ya taifa wametanguliza tumbo.
Soma tena ulichokiandikaNingeshangaa sana kama wajumbe wangemchagua Ally Mayay. Kwanza kugombeagombea huku kunaweza kufukua siri zako, maana nakumbuka alipokuwa anacheza Yanga alifanya mtihani wa kidato cha sita akapata division zero. Watu wanaweza kuanza kufuatilia aliingiaje katika graduate and postgraduate studies
Chet cha 4m4 unaweza jiunga na chuo piaAlipoacha soka alijiunga chuo
Ina maana mtu kupata zero form six ndio hawezi kuendelea na elimu hadi kupata degree??!!! Kama. Hujui kitu bora uulize tu sio kukariri, kwani kama alitumia cheti cha form 4,akasoma certificate, then diploma hawezi kuanza masomo ya digrii?!! Kwenye wapiga kura wa kumchagua rais wa tff ilikuwa ni ngumu kumchagua MAYAI, kwa taarifa yako hii imepigwa kura ya hasira kwa kuwa malinzi amefanyiwa zengwe na sisi ndio tulikuwa tuna mtaka basi ni bora tuwapigie kura hawa tunao wajua kwani siku ZOTE ZIMWI LIKU JUALO HALIKULI LIKAKWISHA. Kwani hao waengine walionekana wanajifanya kuwa ndio wanajifanya kuwa wametumwa mpira wetu!!! Ila hongera kwa wambura kwani c mchezo. Amehangaika sana.Ningeshangaa sana kama wajumbe wangemchagua Ally Mayay. Kwanza kugombeagombea huku kunaweza kufukua siri zako, maana nakumbuka alipokuwa anacheza Yanga alifanya mtihani wa kidato cha sita akapata division zero. Watu wanaweza kuanza kufuatilia aliingiaje katika graduate and postgraduate studies
duh huyu nae great thinker, kwaio ukipata zero form six degree ndo bas tena?Ningeshangaa sana kama wajumbe wangemchagua Ally Mayay. Kwanza kugombeagombea huku kunaweza kufukua siri zako, maana nakumbuka alipokuwa anacheza Yanga alifanya mtihani wa kidato cha sita akapata division zero. Watu wanaweza kuanza kufuatilia aliingiaje katika graduate and postgraduate studies
Ha ha ha ha ha. Usiombe uchukiwe na wabongo