Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,211
- 3,611
Nashauri upatikanaji wa Wabunge wa EALA Tz tuzingatie umakini, haki na weledi.
Tukiendekeza tabia za wajumbe tumepata hasara.
Sasa hivi desturi ya dunia hii ni kunyang'anyana fursa.
Kama tutapeleka Wabunge wasio na sifa za weledi hakika tutapoteza.
Sasa hivi baada ya uchaguzi wa Kenya kumuingiza Raila Odinga ikulu, ni dhahiri kwamba sasa Tz tumezungukwa na metric brains kotekote kwenye EAC.
Napendekeza utaratibu wa kuwapata Waheshimiwa hawa usiwe ule wa kupitia vyama vya siasa na Bungeni bali waombe kwa mfumo wa kuomba ajira/kazi ambapo watakaofanikiwa wapewe malengo na matarajio ya taifa kwao ambapo ima faima wabanwe kuyafikia malengo na matarajio hayo. Serikali isilegee katika hili.
Bill Clinton alisema Arusha ni Geneva ya Afrika, mimi nasema Kenya ni USA ya EAC na Maziwa Makuu.
Bitter Truth!
Tukiendekeza tabia za wajumbe tumepata hasara.
Sasa hivi desturi ya dunia hii ni kunyang'anyana fursa.
Kama tutapeleka Wabunge wasio na sifa za weledi hakika tutapoteza.
Sasa hivi baada ya uchaguzi wa Kenya kumuingiza Raila Odinga ikulu, ni dhahiri kwamba sasa Tz tumezungukwa na metric brains kotekote kwenye EAC.
Napendekeza utaratibu wa kuwapata Waheshimiwa hawa usiwe ule wa kupitia vyama vya siasa na Bungeni bali waombe kwa mfumo wa kuomba ajira/kazi ambapo watakaofanikiwa wapewe malengo na matarajio ya taifa kwao ambapo ima faima wabanwe kuyafikia malengo na matarajio hayo. Serikali isilegee katika hili.
Bill Clinton alisema Arusha ni Geneva ya Afrika, mimi nasema Kenya ni USA ya EAC na Maziwa Makuu.
Bitter Truth!