huyo edzen nae uswahili umemtawala asa anaongea ya faragha ili iweje?
Binamu nasikia kuwa Dida alimdanganya ezden kuwa amechaguliwa kama mmoja wa wageni watakaokwenda mjengoni siku ya ufunguzi (kama alivyoendaga marehemu Kanumba), ndo maana Ezden akawa anampa support ya kumfundisha ngeli mamaaaa, but siku ya siku sijui dida mwenyewe akamwambia mumewe kwamba ana mpango wa kushiriki BBA na akawadanganya ndugu zake kumwa Ezden kamkubalia kwenda kushiriki, hii nayo ikawa moja ya sababu za ugomvi wao hadi talaka
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
mpwa huyu ras simba nchi zilizo serious na elimu ni wakuwekwa jela kabisa.
mimi nimekwenda shule na nimekaa British Columbia kwa miaka kadhaa na nimesoma British council English course na bado mpaka kesho naendelea kujifunza English sembuse huyu muhuni wa wiki tatu?
Mmh huyu dida nae anayaweza, sasa mjengon na yeye wap na wapi? Hiyo mipasho yake na taarabu ndo alitak apelek Bba? Sasa kumbe ni uongo hakuchaguliwa wala nn?
Sasa hapo ndo hata hatujui, ilikuwaje yeye apate uhakika wa kwenda mjengoni hadi kuanza kujifunza ngeli
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Sasa hapo ndo hata hatujui, ilikuwaje yeye apate uhakika wa kwenda mjengoni hadi kuanza kujifunza ngeli
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
funguka vizuri mkuu ina maana hata cha kuombea maji kinakushinda?
Kwenye interview Huyo Mume wake anamtaja mtu mmoja Kwa jina Eliza. Sijui Eliza amesema ... Sa sijui Huyo Eliza anahusikaje na BBA
najuwa cha kuombea soda siyo maji.
Huyu dida ana miaka mingapi?
na huyu DIDA ni nani hasa?? yule kipa mbrazil au?
Gavana wa Ohio
Kiingereza cha tuisheni labda angeelewana na big tu sio house mates wenzake mtu kama Nando akipasua mayai ya kitaa tu kama lugha ya mateja dida si angekuwa bubu tu mule.. acheni utani jamani lol
Uhuni bongo hauishii kwa ufisadi wa viongozi pekee, hata hizi ishu za washindi wa makampuni yanayoendesha bahati nasibu huwa ni utata mtupu na full sintofahamu, kuitwa kwenye usaili huwa ni kutimiza wajibu tu.
Nadhani Edzen alijikuta anaelezea hisia zake kwa jamii bila kukumbuka kuwa kuongelea ishu ya BBA ni kuwaharibia Multchoice....sipati picha Babra Kambogi alipoona ile video tumbo lilinguruma kwa muda gani..kama sio siku nzima.
Na utetezi watakaokuja nao ni simple tu....."Dida alikuwa anajiropokea tu".
Bahati Nzuri waliyoipata akina Badra na team nzima ya multchoice ni upofu mkubwa walioupata wa bongo juu ya hii ishu.
Yaani watu wakawa wapo very busy na ishu nyingine nyingine wakaacha kufocus kwenye tuhuma nzito juu yao .
Ni Bahati nzuri Kwa kweli