Well written!
I hope Dr. Slaa has already submitted to NEC his complains and supporting documents for votes rigging.
Idadi ya Viti maalumu inategemea nini?
Superman, unaweza kuniambia wabunge wa viti maalumu wanapatikanaje? Ni kura za rais au majimbo?
Vinapatikana kutokana na asilimia ya kura za Urais.
Sasa hivi idadi ya majimbo ya uchaguzi ni: 239
Bunge lililopita lilikuwa na viti 323 Kikatiba. Yameongezeka majimbo 7 na kufanya jumla ya viti kuwa 330. majimbo ya Uchaguzi mwaka huu ni 239. Rais ana viti 10 vya kuteua. Hivyo vinabaki viti 81. Hivi vinagawanywa kwa % ya wingi wa kura za urais.
Mfano kama JK akipata 64% then CCM watapewa viti: 52
Kama Slaa akipata say 26% then CHADEMA watapata viti 21. n.k
Viti maalum vinatokana na asilimia ya kura za wagombea ubunge kwa ujumla
Vinapatikana kutokana na asilimia ya kura za Urais.
Sasa hivi idadi ya majimbo ya uchaguzi ni: 239
Bunge lililopita lilikuwa na viti 323 Kikatiba. Yameongezeka majimbo 7 na kufanya jumla ya viti kuwa 330. majimbo ya Uchaguzi mwaka huu ni 239. Rais ana viti 10 vya kuteua. Hivyo vinabaki viti 81. Hivi vinagawanywa kwa % ya wingi wa kura za urais.
Mfano kama JK akipata 64% then CCM watapewa viti: 52
Kama Slaa akipata say 26% then CHADEMA watapata viti 21. n.k
Kuna watu wanaonekana kushabikia au kumlaumu mpiganaji Slaa kwa kusema kuwa kura zake zinachakachuliwa. Nia ni kupunguza idadi ya viti maalumu kwa upande wa Chadema ili CCM iweze kuingiza wanawake wao ambao waliwateua kwa wingi wakidhani kuwa upinzani usingekuwa na nguvu. Ni vizuri pia tukajua mapema formula watakayotumia NEC kuteua wabunge wa viti maalumu ambao mwaka huu ni asilimia 40 ya wabunge wote wa kuchaguliwa. Kila kura ya slaa ina umuhimu katika kuamua ni wabunge wangapi itapata katika mgao wa viti maalumu. Hivyo ni vizuri Tume isichukulie jambo hili kijuujuu!
Vinapatikana kutokana na asilimia ya kura za Urais.
Sasa hivi idadi ya majimbo ya uchaguzi ni: 239
Bunge lililopita lilikuwa na viti 323 Kikatiba. Yameongezeka majimbo 7 na kufanya jumla ya viti kuwa 330. majimbo ya Uchaguzi mwaka huu ni 239. Rais ana viti 10 vya kuteua. Hivyo vinabaki viti 81. Hivi vinagawanywa kwa % ya wingi wa kura za urais.
Mfano kama JK akipata 64% then CCM watapewa viti: 52
Kama Slaa akipata say 26% then CHADEMA watapata viti 21. n.k
nadhani siyo kweli superman. Viti maalum mwaka huu ni 105, vimeongezeka toka 75 vya 2005.
Viti maalum vinatokana na asilimia ya kura za wagombea ubunge kwa ujumla
Tanzanian general election, 2005 - Wikipedia, the free encyclopedia
pia asilimia ya kura za Rais, Wabunge na madiwani kwa pamoja zinachangia kwenye kufanya mahesabu kwa ajili ya RUZUKU pesa ambayo ni muhimu kwa ujenzi wa chama, kulipa watendaji, kuendesha kampeni, mikutano, kujenga miundombinu ya chama na kufanya maandalizi kwa ajili ya Uchaguzi ujao.
Jambo la kujivunia kwa chadema ni kwamba ruzuku waliyokuwa wakipata ilikuwa ni asilimia 6% ya ruzuko yote lakini wameshinda kwa zaidi ya asilimia 20%. maana yake ni kwamba kama wakipata hiyo asilimia 20% ya Ruzuku yote basi watapata mafanikio zaidi uchaguzi ujao.... freedom is coming