Mkuu Superman,
Naona hapa hujawa superman ha haaaa!!! Inabidi usome tena somo la uraia.
Viti maalumu vya wabunge vinatokana na kura za wagombea ubunge. Viti maalum vya madiwani, vinatokana na kura za madiwani.
Kura za urais zinaingia pale tu ambapo chama hakina mgombea wa ubunge au udiwani.
Effect ya kura za Slaa kwenye mgawo wa viti maalum itakuwa ndogo sana.
Asante kwa elimu hii. Kwa maana hii basi jimbo la Arusha kutakuwa na viti maalumu vingi tu vya upinzani ( upinzani una kata 10, CCM 9) hivyo possibility ya kuunda serikali ya jiji inaangukia upinzani! Thanks Lord!
Hapana, wabunge wanawake wa majimbo hawapunguzwi katika ile 30%. Asilimia hii iko fixed. Ndiyo maana wachambuzi walisema kama wanawake wakijitokeza wengi kwenye majimbo, kuna uwezekano wa kufikia asilimia 50:50.