Elections 2010 Uchakachuaji HAUPO! - NYARAKA HIZI HAPA NI FAKE

Elections 2010 Uchakachuaji HAUPO! - NYARAKA HIZI HAPA NI FAKE

Status
Not open for further replies.
Invisible,

JK alikuwa Mwanza tarehe 16 October 2010? Na Ridhiwani alikuwa huko siku hiyo?

Kuna watu nafikiri wanaandaa mazingira ya Watanzania kuchinjana. Kuweni waangalifu sana!
 
Mkuu Invisible, with due respect; Hivi, uliona wapi wafanya magendo au wala rushwa wakapeana risiti? nadhani hiyo barua ndio uchakachuaji wenyewe na aliyeitoa anakusudia kujenga hofu na kuwababaisha watu.
Uzoefu wangu wa rafu za uchaguzi huwa hakuna maandishi labda pale mnapotaka kujenga mazingira ya kufungua kesi kupinga matokeo.
 
Kwanza niseme kwamba kama barua hii ni ya kweli basi uchaguzi hauna maana ni vyema usiwepo maana JK ni mtu wa hatari. Baada ya kusema hivyo niseme nina wasiwasi kidogo na barua hii. Kwanza je ni nani Wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi.

Kama ni wale wanaosimamia uchaguzi ngazi ya wilaya then hii barua inaweza kuwa sahihi. Lakini kwa nini sensitve issue kama hii iwe official? Nafikiri haiwezakani?. Nikiangalia kwa makini hii barua haijaibiwa kutoka kwenye file na wala haina mhuri wa kupokelewa na ofisi yoyote...kwa hiyo ikoje hii?. Unaweza kusema ina sahihi...lakini sahihi ni scanned na rahisi mtu kuiba sahihi kama hiyo

Muhimu: Kila Chama kufuatilia vizuri vituo vya ziada na idadi ya watu ambao kwa makusudi imezidishwa. Hili linaonekana kuwa tatizo la kitaifa lililopangiliwa vyema na watakuwa wanajua idadi ya watu wanaozidi kila sehemu.

Conclusion: Hii barua nafikiri si ya kweli lakini sasa kuna uhakika kabisa wa moja ya mbinu itakayotumika kuiba kura
 
Invisible,

JK alikuwa Mwanza tarehe 16 October 2010? Na Ridhiwani alikuwa huko siku hiyo?

Kuna watu nafikiri wanaandaa mazingira ya Watanzania kuchinjana. Kuweni waangalifu sana!

Unajua it is much fair kusema JK siku hiyo hakuwa huko alikuwa kule, Ridhwani the same. Lakini unapomuuliza invisible wakati wewe ndiye mwenye wasiwasi is absurd. Maana to him is simple "yes alikuwa huko"
 
Duuu hii kali aisee.ipelekwe kwenye magazeti na vyombo vya habari ili kesho hizi barua zitoke
 
Jamani,
Hiyo barua mnayoijadili mbona mwenzenu siioni?
Au imeishatolewa?!
 
Mkuu Invisible, with due respect; Hivi, uliona wapi wafanya magendo au wala rushwa wakapeana risiti? nadhani hiyo barua ndio uchakachuaji wenyewe na aliyeitoa anakusudia kujenga hofu na kuwababaisha watu.
Uzoefu wangu wa rafu za uchaguzi huwa hakuna maandishi labda pale mnapotaka kujenga mazingira ya kufungua kesi kupinga matokeo.
Wewe ndiyo huna macho na umevaa miwani! Barua hizi zimescaniwa, na ushahidi wa Ref numba upo, na nembo ipo, na majina ya wahusika yapo! na Invible kasema wamemezea mengi hili kashindwa, hiyo ndiyo hali halisi, na kama umepitia taarifa ni kuwa inasemekana mgombea wa Nyamagana aliahidiwa dongo nono ili asihoji matokeo, sasa huoni kuna link kwenye hili tukio!!
Pole sana kama utaendelea kutokuelewa!
 
Sina la kusema kwa sasa...........Lets wait and see kama kutakuwa na uchaguzi.
 
Kama Kikwete mwenyewe alikuwa anatoa maelekezo haya still anatamba atashinda kwa kishindo ni aibu it is more than dangerous huu ndio udikteta unaingia taratibu tanzania.

Wanaohusika wathibitishe hili leo kupitia vyombo vya habari. Kama ndo hivyo wananchi wasizuiliwe kulinda kura zao USIKU na mchana. Hii kama ni kweli NO PEACE SHALL COME TO TZ.

My God wangu.
 
sisi wengine hatuioni hiyo barua. tutawezaje kuiona jamaniiiiiiii.
 
Kha!!! hawa watu ni mashetani!!!!!! Eh Mungu tunaamini wewe upo,,, naomba usikubali haya maovu yatendeke.... jitokeze upesi eh baba NAKUOMBA UTUOKOE NA UDHALIMU HUU. AMEN!:nono:
 
baba yangu amelia baada ya kumuonyesha barua hii

niko home mwanza na nimeomba rikizo kwa ajili ya octoba 31
 
Mkuu Invsible na wengine kama mtaweza kunisaidia

asante sana....... Majina mbona yamekosewa? pili JK alikuwa mwanza tarahe hizi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom