MTWA
JF-Expert Member
- Aug 5, 2009
- 1,166
- 168
kana sehemu nyingi wasimamizi wameripotiwa kutotaka kuhakiki majina ya wapiga kura, yaani mawakala hawaambiwi,
Sehemu zingine hata daftari hawana access nalo.
halafu kuna kutofautiana kwa namba za kitambilisho cha kura, lakini kuna watu walipita kipindi fulani kurekodi namaba za vitambulisho, lakini pia kuna vitambulisho visivyo na picha
Je hapa hakuna mwanya wa uchakachuaji wa kura?
Sehemu zingine hata daftari hawana access nalo.
halafu kuna kutofautiana kwa namba za kitambilisho cha kura, lakini kuna watu walipita kipindi fulani kurekodi namaba za vitambulisho, lakini pia kuna vitambulisho visivyo na picha
Je hapa hakuna mwanya wa uchakachuaji wa kura?