Pre GE2025 Uchambuzi: CCM kumteua Steven Wassira ni onyo kwamba watashinda uchaguzi wa 2025 kwa gharama yoyote, CHADEMA ijipange kwa uchaguzi wa 2030 na si 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ccm daima
 
Hakuna mwenye ubavu wa kushindana kwa hoja na Mzee Stephen Wassira.
Rudi shule bro, nchi hii ina watu heavy duty kwa hoja huyo mzee akasome. Halaf ujue humu ndani kuna wasomi, watu wenye experience si chawa
 
Rudi shule bro, nchi hii ina watu heavy duty kwa hoja huyo mzee akasome. Halaf ujue humu ndani kuna wasomi, watu wenye experience si chawa
Na hao wote HAWANA uwezo wa kujenga hoja zaidi Mzee Wassira ndio maana hso wanaonesha umahiri Jf na Mzee Wassira anauonesha kwenye kuongoza nchi! Very different!
 
Huyu Mzee kweli ana visa. Alipokua waziri wa maji na mbunge wa Bunda. Watu wa Bunda miaka walikua wanateseka kwa shida kubwa ya maji japo miundo mbinu ya kuleta maji Toka ziwa Victoria ilikuwepo lakini uzembe na upigaji ulifanya shida ya maji kuwa sugu. Maji yalikua yakitoka karibu na uchaguzi au wakubwa wanapipita kufanya kampeni.
Katika mikutano ya kusaka kura Mwananchi mmoja alimlalamikia Wasira kuhusu shida sugu maji wakati yeye ni mbunge wao na waziri wa maji. Wasira alimjibu kuwa nyie hamuuguwi ? Dawa mnanyea Nini kama sio maji ? Na alipigiwa makofi na vigelegele na hao wanaoteseka kwa shida ya maji kwa kumzima mwenzao alie kuwa shupavu kumuonesha Wasira shida ambayo yeye ana jukumu la kuitatua.
Safari ndefu Bado
What a genius
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…