Uchambuzi derby: First half naona Simba akipigwa mvua ya magoli mengi

Uchambuzi derby: First half naona Simba akipigwa mvua ya magoli mengi

Kama umejaaliwa kipaji na ukawa na taaluma ya uchambuzi najua utakuwa umeliona hili.

Baada ya Simba na Yanga kucheza mechi zao tumeona ubora na upungufu wa Kila timu according to their level mfano kwa level ya Yanga saizi ni tofauti mapungufu ya Simba kulingana na level yake.

Kwa kikosi hiki Cha Yanga ni wazi tu kuwa ndani ya dk 45 za Kwanza Simba watakula goli sio chini ya 5. Kulingana na udhaifu na ugeni wa wachezaji hivyo itapelekea kufanya makosa mengi kutokana na ukosefu wa muunganiko wa wachezaji.

Mfano mechi dhidi ya APR haikua kipimo sahihi Kwa Simba at least wangecheza na Tanzania Prisons pia matokeo waliyopata Simba yalitokana na juhudi binasfi za wachezaji.

Ushauri wangu: Simba tarehe 8 waingie na mentality ya kupaki basi + viungo wakabaji wengi. Otherwise msiba utakuwa mkubwa pale Simba.

View attachment 3062883
Ujinga huu mmeupeleka Kwa Kaiser Chief wamewajua nyie ni waswahili. Hakuna MTU atapenda kushirikiana na wajinga😄
 
Hakika aliewaita utopwinyo aliwaza mbali sana
I mark your ID mtani tarehe 8 nitakusaka hadi chini ya uvungu, lazima tukutoe hadharani, yaani mtu mwema kabisa Labani anakwambia ujiandae kwa kipigo labda uje uwanjani na maji ya kuosha machozi we unamdharau, why? ndo maana kwa dharau hizi makolo mkapigwa bakora khamsa ishirini kono la nyani!!

Hivi pale mbumbumbu street (msimbazi) beki wenu gani ana uwezo wa kuwazuia Pacome, Aucho, Max, Ki Aziz, Dube na Chama kwa pamoja? Huoni itakuwa balaa tupu halafu unaambiwa ukachume fimbo uje uchapwe unakebehi na kushupaza mishipa ya shingo, kalagabaho!!
 
tutatimiza wajibu naona kila mwanachama anasema anamwachia Mungu kwan sisi tumememwachia nan watasematu
 
Yaaah mkuu saizi Yanga Haina urafiki....ni kichapo tu [emoji23]
Midomo zile goli tano zilikuwa zinatangazwa utafikiri kigori mara ya Kwanza kupata Bwana😁. Utafikiri Yanga haijawahi kupigwa 6. Yanga ipunguze shobo kama inataka kuwa KUBWA. MTU kakualika umemfunga unaanza kumdhalilisha acheni uswahili😂
 
I mark your ID mtani tarehe 8 nitakusaka hadi chini ya uvungu, lazima tukutoe hadharani, yaani mtu mwema kabisa Labani anakwambia ujiandae kwa kipigo labda uje uwanjani na maji ya kuosha machozi we unamdharau, why? ndo maana kwa dharau hizi makolo mkapigwa bakora khamsa ishirini kono la nyani!!

Hivi pale mbumbumbu street (msimbazi) beki wenu gani ana uwezo wa kuwazuia Pacome, Aucho, Max, Ki Aziz, Dube na Chama kwa pamoja? Huoni itakuwa balaa tupu halafu unaambiwa ukachume fimbo uje uchapwe unakebehi na kushupaza mishipa ya shingo, kalagabaho!!
Maduka hayapo.
 
I mark your ID mtani tarehe 8 nitakusaka hadi chini ya uvungu, lazima tukutoe hadharani, yaani mtu mwema kabisa Labani anakwambia ujiandae kwa kipigo labda uje uwanjani na maji ya kuosha machozi we unamdharau, why? ndo maana kwa dharau hizi makolo mkapigwa bakora khamsa ishirini kono la nyani!!

Hivi pale mbumbumbu street (msimbazi) beki wenu gani ana uwezo wa kuwazuia Pacome, Aucho, Max, Ki Aziz, Dube na Chama kwa pamoja? Huoni itakuwa balaa tupu halafu unaambiwa ukachume fimbo uje uchapwe unakebehi na kushupaza mishipa ya shingo, kalagabaho!!
Hakuna beki anaweza kupambana na zile chezaji za yanga
 
Magoma FC.....kazi iendelelee
Screenshot_20240806-153856_Instagram.jpg
 
Kama umejaaliwa kipaji na ukawa na taaluma ya uchambuzi najua utakuwa umeliona hili.

Baada ya Simba na Yanga kucheza mechi zao tumeona ubora na upungufu wa Kila timu according to their level mfano kwa level ya Yanga saizi ni tofauti mapungufu ya Simba kulingana na level yake.

Kwa kikosi hiki Cha Yanga ni wazi tu kuwa ndani ya dk 45 za Kwanza Simba watakula goli sio chini ya 5. Kulingana na udhaifu na ugeni wa wachezaji hivyo itapelekea kufanya makosa mengi kutokana na ukosefu wa muunganiko wa wachezaji.

Mfano mechi dhidi ya APR haikua kipimo sahihi Kwa Simba at least wangecheza na Tanzania Prisons pia matokeo waliyopata Simba yalitokana na juhudi binasfi za wachezaji.

Ushauri wangu: Simba tarehe 8 waingie na mentality ya kupaki basi + viungo wakabaji wengi. Otherwise msiba utakuwa mkubwa pale Simba.

View attachment 3062883hambuzi wa
Endelea kuchambua mchele lakini uchambuzi wa mpira waachie wanaojua kuucheza na enzi zao waliucheza kwa kiwango cha juu kama vile Ally Mayai Tembele, Dua Said nk!!
 
I mark your ID mtani tarehe 8 nitakusaka hadi chini ya uvungu, lazima tukutoe hadharani, yaani mtu mwema kabisa Labani anakwambia ujiandae kwa kipigo labda uje uwanjani na maji ya kuosha machozi we unamdharau, why? ndo maana kwa dharau hizi makolo mkapigwa bakora khamsa ishirini kono la nyani!!

Hivi pale mbumbumbu street (msimbazi) beki wenu gani ana uwezo wa kuwazuia Pacome, Aucho, Max, Ki Aziz, Dube na Chama kwa pamoja? Huoni itakuwa balaa tupu halafu unaambiwa ukachume fimbo uje uchapwe unakebehi na kushupaza mishipa ya shingo, kalagabaho!!
Lini Laban og aliwahi kuandika kitu cha mpira chenye logic?
 
BADO YANGA WANAENDELEA NA UCHAWI? 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Endelea kuchambua mchele lakini uchambuzi wa mpira waachie wanaojua kuucheza na enzi zao waliucheza kwa kiwango cha juu kama vile Ally Mayai Tembele, Dua Said nk!!
Mtakosa madini sasa
 
Wale red arrows kama kocha sio kutaka kila mchezaji acheze kipangwe kikosi kweli kweli ata sita wangekula. Diara, yao, Kibabage (Boka) Job, baka, Aucho,Abuya, zengeli, pakome, Azizi Ki, Mzize(Dube,Baleke,Msonda). Tarehe 8 zikipungua 4 nipigwe Ban.
Nakiona kikosi hiki kikianza
 
Back
Top Bottom