Uchambuzi Game kati Yanga

Simba na Yanga makele tu ueanjani 0
Tactics za jana kwa Yanga zilikuwa sawa, ukiwa inferior kwenye game usifunguke kipuuzi na jana Yanga walikuwa underdogs. Pressing high kungeifanya timu ichapwe mapema sana, mtego wa Mamelodi kocha wa Yanga aliuona na akacheza exactly inavyotakiwa.

Mechi za mtoano zinahitaji mbinu, coz hatupambanii points, watu wanataka kumtoa mtu come sun ome rain.
 
Kuna nafasi aliipata Mzize akiwa na golikipa mbele yake! Angekuwa ile nafasi ameipata Azizi Kii au Pacome (kama angecheza), basi lilikuwa ni goli la wazi kabisa.

Halafu kuna nafasi nyingine aliipata Kennedy Musonda! Na yeye angekuwa na kasi kama ya Mzize, au utulivu kama wa Pacome; na lenyewe lingekuwa goli kwa Yanga.

All in all, jana Yanga walitengeneza nafasi nyingi za magoli ukilinganisha na hao Mamelodi waliopewa nafasi kubwa ya kushinda kabla ya mchezo! Ni vile tu walikosa utulivu, na pia maamuzi sahihi. Naamini mechi ya marudiano nayo itakuwa ni ngumu sana kwa pande zote mbili.

Na kama Mamelodi Sundowns walifikiri wamepewa mpinzani rahisi na mwepesi, basi watakuwa wamekosea sana. Maana lolote linaweza kutokea kwao kwenye huo mchezo wa marudiano.
 
Hao ni makolo wananhangaika zaidi na yanga kuliko timu Yao.
Nayeye anaenda kama shabiki wa Yanga.
Ila nimekuja kugundua kua(yeye) ni ibilisi ameingia nyumbani kwetu na anataka kutugombanisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…