Uchambuzi: Je, kuna watu wanaamini Simba itashinda kule Egypt?

Aaahaaaa

Nakuona chambuzi la kimataiafa
 

Yanga ni Timu ndogo hata Kumi Bora CAF haimo, unashangaa kubadilikiwa na Al ahly?

Subiri Mabadiliko mengine Kutoka Kwa Mamelodi huko SA ijumaa hii...!sikutishi ndo Ukweli.!
 
Msimu huu kuna jambo la ajabu litaenda tokea.
Maana timu kubwa zimekaziwa sana hatua hii.
We hadi Esperance kashindwa kumfunga Asec mimosa kwake!!??
Utawala wa waarabu ngazi ya Afrika ushaanza kwisha

Naona ya Afcon yanaenda kutokea
 
Lazima tu timu zitoke mkuu
 
Tumia hela yako kwa manufaa ya [emoji196][emoji196]wenzio.

Kwea pipa uende sauzi kushuhudia kuzaliwa kwa Mwakarobo jr pale Pretoria.
Yaaah mkuu sipendi kijana wangu upate taabu
 
Yanga ni Timu ndogo hata Kumi Bora CAF haimo, unashangaa kubadilikiwa na Al ahly?

Subiri Mabadiliko mengine Kutoka Kwa Mamelodi huko SA ijumaa hii...!sikutishi ndo Ukweli.!
Kama unatizama rank pasi na kutizama current performance utakua ni kichaa.
Mbona wewe uliye kumi bora ulishindwa kumfunga Asec Mimosa??
Wewe na Asec nani yupo juu??
Mbona Esperance kashindwa mfunga Asec ambaye kamzidi rank tena esperance akiwa nyumbani???
Belouzdad tulimfunga 4 na katuzidi rank hapo unasemaje??
Wewe uliye juu umeshindwa kujihimili nyumbani ukafungwa hata Asec kakushinda kasare ugenini.
ONGEA MPIRA USIROPOK.
 
We Timu Bolu possession 20% kwa 80% , mmeshikilia bomba Mwanzo Mwisho mkiwa Kwenu.... Huyu atakukosa vipi ukienda Kwake?

Asec Mimosa alishikilia bomba ,Lkn alikuwa ugenini..! Msipende kujicompare nyie Utopolo..!
 
Umeongea point sana
 
Katika sifa za kiume ni lazima uwe na moyo wa kutokukata tamaa ktk changamoto zozote za maisha..
King lion never give up.

Simba atashinda 2--0 .

Save my comment.
 
Sahihi Mkuu....maingizo hayajafanya vizuri
 

Ukikua ukawa mkubwa utaacha comparison Za Kitoto...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…