Uchambuzi: Je, kuna watu wanaamini Simba itashinda kule Egypt?

Uchambuzi: Je, kuna watu wanaamini Simba itashinda kule Egypt?

Laban fek, hautopenda ila itakuwa hivi mpaka dakika 80+ Al haly 1 Simba SC 1 dakika za 90+ Simba SC watapta goli then matokeo yanakuwa 1-2,
Najua hata wewe huamini kama itakuwa hivyo [emoji23]
 
Tath
REKODI ZAIBEBA AL AHLY NYUMBANI, ZAIBANA SIMBA SC VIWANJA VYA UGENINI.

Rekodi ya Al Ahly ikiwa nyumbani ni nzuri kwani haijapoteza mchezo wowote tangu Mei mwaka jana katika michuano yote, ukiondoa kipigo cha 1-0 kutoka kwa USM Alger katika mechi ya CAF Super Cup ambao wao walikuwa wenyeji ila ikichezwa Uwanja wa usio na mwenyewe..

Mechi ya marudiano ya Al Ahly na Simba itapigwa Ijumaa ijayo jijini Cairo kuanzia saa 5:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki na mshindi wa jumla atatinga nusu fainali kuumana na mshindi wa robo fainali nyingine kati ya Esperance ya Tunisia na Asec Mimosas ya Ivory Coast zilizokuwa zikicheza jana usiku.

Pia Simba haina rekodi nzuri kwa mechi za ugenini za kimataifa, hasa Kwa waarabu

Kwani kwa msimu huu pekee katika mechi nne ilizocheza hadi kufika robo fainali, haikushinda hata moja zaidi ya kufungwa na
Je Al Ahly yupo tayari safari yake ya kwenda nusu fainali isitishwe na Simba Sc na kuandika rekodi ya kufungwa wakiwa kwao Misri ?!!!
Huu utakuwa ni wendawazimu kuamini Simba atatoboa[emoji22]View attachment 2951227


Tafsiri ya picha hapo juu

Kolo before match alijiamini ataenda mpasua Al ahly......
Unfortunately akakutana na kipigo ...hapo.baada ya kukandwa kolo alijifcha Kwa muda ./ Ailitokome[emoji23][emoji23]

Then kolo wote wajiunga Kwa mamelodi [emoji23][emoji23] Ili ashinde ..then u all know what real happened....[emoji23][emoji23]
Tathmini yako ni ya kipumbavu!
 
REKODI ZAIBEBA AL AHLY NYUMBANI, ZAIBANA SIMBA SC VIWANJA VYA UGENINI.

Rekodi ya Al Ahly ikiwa nyumbani ni nzuri kwani haijapoteza mchezo wowote tangu Mei mwaka jana katika michuano yote, ukiondoa kipigo cha 1-0 kutoka kwa USM Alger katika mechi ya CAF Super Cup ambao wao walikuwa wenyeji ila ikichezwa Uwanja wa usio na mwenyewe..

Mechi ya marudiano ya Al Ahly na Simba itapigwa Ijumaa ijayo jijini Cairo kuanzia saa 5:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki na mshindi wa jumla atatinga nusu fainali kuumana na mshindi wa robo fainali nyingine kati ya Esperance ya Tunisia na Asec Mimosas ya Ivory Coast zilizokuwa zikicheza jana usiku.

Pia Simba haina rekodi nzuri kwa mechi za ugenini za kimataifa, hasa Kwa waarabu

Kwani kwa msimu huu pekee katika mechi nne ilizocheza hadi kufika robo fainali, haikushinda hata moja zaidi ya kufungwa na
Je Al Ahly yupo tayari safari yake ya kwenda nusu fainali isitishwe na Simba Sc na kuandika rekodi ya kufungwa wakiwa kwao Misri ?!!!
Huu utakuwa ni wendawazimu kuamini Simba atatoboa[emoji22]View attachment 2951227


Tafsiri ya picha hapo juu

Kolo before match alijiamini ataenda mpasua Al ahly......
Unfortunately akakutana na kipigo ...hapo.baada ya kukandwa kolo alijifcha Kwa muda ./ Ailitokome[emoji23][emoji23]

Then kolo wote wajiunga Kwa mamelodi [emoji23][emoji23] Ili ashinde ..then u all know what real happened....[emoji23][emoji23]
simba wala yanga hazitashinda,tutatolewa japo kwa mbinde,tunakwenda kujifunza zaidi,hatuna timu za kuingia nusu fainali
 
Back
Top Bottom