Uchambuzi: Jezi za Simba SC ni mbovu kuliko jezi za timu zote NBC

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Ukiangalia jezi za namumgo, Azam, Yanga na singida ni Jezi kali mno kuliko jezi za Kolo......

“Jezi bei ya jumla ni 32000 mnajua kwanini ? hiki ndio kinafanya watu wanavaa vitambaa vya timu zao na sio jezi , nikirudi nitawaambia haiwezekani jezi ukinunua unaambiwa hii usiifue “

Jezi za timu gani ukizifua imekula kwako ?

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Simba wametia aibu sana,jezi nyeupe ya Simba ndo Huwa naikubali ila mwaka huu sijui wamezalisha nini
 
Jezi zote nzuri kwa mimi nisie na ushabiki. Ushabiki ni upofu kuna kinyozi wangu alinichekesha last week ananiambia mayele haondoki yanga na thamani yake ni 4B ambayo simba ni thamani ya kikosi kizima. Nikacheka nikijua ushabiki ndio unaongea japo sifuatilii mpira ila kuna mambo ushabiki unafanya udanganye au usione uhalisia
 
itoshe kusema hauna marinda na akili pia hauna.
 
Sijawahi kutarajia kusikia Shetani akimpa maua yake Mwenyezi Mungu.
 
Hiki ndio tunataka wanasimba yaani Simba iwe mdomoni tu

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Jezi za simba hazitakuja kua nzuri na hii ni kwasababu ya rangi yao na jinsi muundo wa jezi yao ulivyo. Ni nyekundu tupu, sasa rangi nyekundu hata manjonjo inakua kazi zaidi zaidi utaharibu.

Angalia wenzao Arsenal, Man u jezi zao ni nyekundu lakini miundo hubadilika kila siku. Simba ni kama jezi ile ile tu. Wakibadili kitu ndani ya jezi hata hakionekani kwa ufanisi.
 
Utokolo kibegi kimewavurugia hadi siku yenu hamuioni dadeq
 
Mm mwenyewe sio shabiki wa mpira wa bongo .....ila jezi za namumgo singida Azam na YANGA ni classic jersey

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Kweli ni mbovu ila nendeni uwanjani
 
It's true makolo wanabadili maandishi tu ya jersey..... mwaka jana kulikuwa na mo karanga.....
Mo nazi ......mo ndizi

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…