UCHAMBUZI: Kifaru cha Leopard 2 ni hatari kwa Urusi

Kibosho1

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2017
Posts
2,621
Reaction score
4,293

Kwa mujibu wa BBC
Kwakweli ndio maana Urusi inapaswa kukubali tu yaishe kama Poland itapeleka Leopard 2 Uingereza itapeleka Chalenger Us ikapeleka Abram,T90 ya Urusi haitakuwa na kazi tena

Souce: BBC News Swahili
 
Tulisikia makelele mengi sana ya javelin, stinger, himar drone za Uturuki, drone za Marekani waizosema hazionekani kwa rada, wakapeleka mifumo mingi ya ulinzi kutoka Ujerumani, Uingereza na Marekani lakini vyote hivyo vimepoteana huku mwanaume akijibebea miji tu.

Wote tunaona kinachojiri kwenye uwanja wa vita. Now hawa NATO wamehamishia magoli kwenye haya mabox yao ya leopard, Abraham na challenger ili tusiwaulize walivyokuwa wanayapamba machumachuma yao yaliyojifia kibudu huko Ukraine.

Naam! Haya mabox yao nayo yatapita huku mwanaume akiendelea kuimega Ukraine kimasihara!

Waendelee kukaza mafuvu yao mwisho waje kukuta mwanaume yupo kwenye milango yao huku ameshajipaka mkongo

Ni swala la muda tu hata Poland anaweza kutomaswa alafu washirika wake wakakimbilia kwenye mashimo kama nguchiro.
NATO na vikalio vyao robokilo wanataka kuutikisa mbuyu wenye karne nyingi wajikute vikalio vyao vikitikisika
 
View attachment 2494441
Kwa mujibu wa BBC

Kwakweli ndio maana Urusi inapaswa kukubali tu yaishe kama Poland itapeleka Leopard 2 Uingereza itapeleka Chalenger Us ikapeleka Abram,T90 ya Urusi haitakuwa na kazi tena

Souce: BBC News Swahili
Wewe ujui silaha alizo nazo mrussi na mikakati yake mipya kila mwezi mmoja ukipita mrusi anafanya mapinduzi makubwa sana kijeshi kuliko nchi yoyote duniani kwa sasa hivyo hivyo vifaru vimepitwa na wakati kuvitumia kupigana na urusi ni kujidanganya
 
View attachment 2494441
Kwa mujibu wa BBC

Kwakweli ndio maana Urusi inapaswa kukubali tu yaishe kama Poland itapeleka Leopard 2 Uingereza itapeleka Chalenger Us ikapeleka Abram,T90 ya Urusi haitakuwa na kazi tena

Souce: BBC News Swahili
Kule Syria viliharibiwa sana hadi Waandishi wa habaribwa Ujerumani waakanzisha mjadala kule Ujerumani kuhusu ubora wake, pia isisahau kule Afghnstan pia vilichakazwa
 
View attachment 2494441
Kwa mujibu wa BBC

Kwakweli ndio maana Urusi inapaswa kukubali tu yaishe kama Poland itapeleka Leopard 2 Uingereza itapeleka Chalenger Us ikapeleka Abram,T90 ya Urusi haitakuwa na kazi tena

Souce: BBC News Swahili
Ninachoona kwenye hii vita, Mrusi anaitumia kufanya biashara ya mafuta, gesi na silaha ndio maana hataki suluhu. Muhimu tumwombe Mungu kupitia maombi ili vita hii iishe. Hasa kwa kuwa imeleta madhara makubwa ya kiuchumi Duniani.
 
Javelin ndio zilikaanga ule msururu wa km 64 mpaka askari wa Urusi wakatoroka wakiwa wamevaa sketi. HIMMERS mpaka leo hazina tiba kwa Urusi. Air defense systems anazopewa Ukraine siku kuwa ni mbovu ila ni chache ukilinganisha na idadi inayohitajika.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Ki
Wewe ujui silaha alizo nazo mrussi na mikakati yake mipya kila mwezi mmoja ukipita mrusi anafanya mapinduzi makubwa sana kijeshi kuliko nchi yoyote duniani kwa sasa hivyo hivyo vifaru vimepitwa na wakati kuvitumia kupigana na urusi ni kujidanganya
Kifaru gani cha Urusi kinafikia hivi?
 
View attachment 2494441
Kwa mujibu wa BBC

Kwakweli ndio maana Urusi inapaswa kukubali tu yaishe kama Poland itapeleka Leopard 2 Uingereza itapeleka Chalenger Us ikapeleka Abram,T90 ya Urusi haitakuwa na kazi tena

Souce: BBC News Swahili

[emoji23][emoji23][emoji23] kwenye VITA unatoa silaha unaanza kuitangaza
Umesikia kuna bishara hapo
PIGANA
 
Kw
Kweli kabisa, kama mataifa ya magharibi yasingekuwa yanasua sua kupeleka silaha zinazihitajika Urusi ingekuwa ishakubali yaishe, ila wanapeleka kidogo kidogo na wanagawanyika kuhusu kupeleka silaha zaidi. Poland ina hasira sana inatamani kuingia vitan ila inaogopa mgogoro utakuwa mkubwa. Us na Germany ndio waoga
 
Akili za watoto wadogo hizi...urusi anazo silaha za kibiolojia akitumia ukrain nato wote mtatafutana
 
Akili za watoto wadogo hizi...urusi anazo silaha za kibiolojia akitumia ukrain nato wote mtatafutana
Kwani NATO haina? Ni busara za nchi za magharibi tu ila Urusi itapigwa kama mtoto
 
Msaada wa unielewesha. Inakuaje unamtangazia adui yako chombo unachopeleka vitani. Si na yeye atajiweka vizuri kukabiliana nacho. Nilitegemea hii iwe siri kubwa lakini kusema ninapeleka chombo hiki kwenda kupigana na adui nini kilicho ndani ya pazia. Nilitegemea hii iwe siri kubwa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…