Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Kila siku humu JF tukiwaambia mbu mbu mbu kuwa wanakikosi tia maji tia maji wanabisha Sasa nadhani wameelewa ...Yanga imetoa wachezaji Saba dhidi ya 3 kutoka mbumbumbu FC imagine mzize, sure boy out
Majibu: kwanini kapombe na zimbwe hawajaitwa
1: Kapombe ni mzito sana kukaba kiasi Kwamba hutumia nguvu kubwa kukaba. Akikutana na wachezaji wepesi + speed hivyo kuileta hatari ya kuleta madhambi ambayo ni faida Kwa WAPINZANI ....mfano penalty
Reference
Rejea mechi ya Azam Kipre junior alichomfanyia Kapombe .....mikimbo ilimtesa Hadi nusura kupewa red card na kusababisa penalty.....hivyo hafai Kwa mabeki wa kisasa
Zimbwe junior
Huyu bado ana mengi ya kujifunza kwenye hii modern football Kwani bado anapungukiwa na vitu vingi mfno ball accuracy. Umakini .. .na vingine vingi akikutana na wachezaji wanaitumia akili mfano Aziz ki
References
Mechi ya Simba na Yanga
NB. Ubora wa Yanga umefanya kuitwa wachezaji wake wengi
Kwa wachezaji hawa taifa stars inaenda kushinda ushindi nzito
Majibu: kwanini kapombe na zimbwe hawajaitwa
1: Kapombe ni mzito sana kukaba kiasi Kwamba hutumia nguvu kubwa kukaba. Akikutana na wachezaji wepesi + speed hivyo kuileta hatari ya kuleta madhambi ambayo ni faida Kwa WAPINZANI ....mfano penalty
Reference
Rejea mechi ya Azam Kipre junior alichomfanyia Kapombe .....mikimbo ilimtesa Hadi nusura kupewa red card na kusababisa penalty.....hivyo hafai Kwa mabeki wa kisasa
Zimbwe junior
Huyu bado ana mengi ya kujifunza kwenye hii modern football Kwani bado anapungukiwa na vitu vingi mfno ball accuracy. Umakini .. .na vingine vingi akikutana na wachezaji wanaitumia akili mfano Aziz ki
References
Mechi ya Simba na Yanga
NB. Ubora wa Yanga umefanya kuitwa wachezaji wake wengi
Kwa wachezaji hawa taifa stars inaenda kushinda ushindi nzito