Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingawa watakupinga, ila kama umetumia kipimo cha ile mechi kati ya simba na Azam; aisee yule Kipre Junior aliwachezesha kwata hao mabeki wawili!!Kila siku humu JF tukiwaambia mbu mbu mbu kuwa wanakikosi tia maji tia maji wanabisha Sasa nadhani wameelewa ...Yanga imetoa wachezaji Saba dhidi ya 3 kutoka mbumbumbu FC imagine mzize, sure boy out
Majibu: kwanini kapombe na zimbwe hawajaitwa
1: Kapombe ni mzito sana kukaba kiasi Kwamba hutumia nguvu kubwa kukaba. Akikutana na wachezaji wepesi + speed hivyo kuileta hatari ya kuleta madhambi ambayo ni faida Kwa WAPINZANI ....mfano penalty
Reference
Rejea mechi ya Azam Kipre junior alichomfanyia Kapombe .....mikimbo ilimtesa Hadi nusura kupewa red card na kusababisa penalty.....hivyo hafai Kwa mabeki wa kisasa
Zimbwe junior
Huyu bado ana mengi ya kujifunza kwenye hii modern football Kwani bado anapungukiwa na vitu vingi mfno ball accuracy. Umakini .. .na vingine vingi akikutana na wachezaji wanaitumia akili mfano Aziz ki
References
Mechi ya Simba na Yanga
NB. Ubora wa Yanga umefanya kuitwa wachezaji wake wengi
Kwa wachezaji hawa taifa stars inaenda kushinda ushindi nzito
View attachment 2550046
Kapombe aliotumia nguvu nyingi akili kisoda .....Kwa mtoto mdgIngawa watakupinga, ila kama umetumia kipimo cha ile mechi kati ya simba na Azam; aisee yule Kipre Junior aliwachezesha kwata hao mabeki wawili!!
Maana kama isingekuwa maamuzi ya kutatanisha, ile siku kulikuwa na kadi nyekundu moja! Na pia faulo ya huyo Shomari Kapombe, nje kidogo ya 18.
Huyo kibonde alikupelekea moto vingapiSasa kama point zote zimetoka Kwa kibonde vipers.....
Nadhani hapa umeprove kuwa kapombe .na zimbwe ni type ya wachezaji wa mechi kama za vipers
Kocho wewe yanga ndo inateam kubebwa bebwa na marefa ndo una teamMkuu tuombe mungu...simba .hapa hatuna timu
Simba ilikutana na Al hilal au gwambina ya Angola na Malawi!?Hao hao Wachezaji wa Simba unaowaona Hawajui ndio wamefanya icheze Champions League. Na hao Magarasa unaowaona wajuzi ndio wameipeleka Uto kwenye kombe la Loosers. Akili kichwani kila mtu ana zake
Wewe kweli ni empty brain, kwaiyo de agosto na big bullets nazo unaziesabu ni timu za maana, angalia timu ulizokutana nazo mpaka unafika hapo ulipo ndio ujitathmini na kikosi chako, de agosto na big bullet ni sawa na Ruvu shooting au mtibwa sugar tu kwa namna vikosi vyao vilivyo kwaiyo uwezi kujisifu eti kwa kuwa ulizitoa zile timu ndio uko vizuri ni kujidanganyaKwahiyo Umesahau kwamba Simba amecheza hatua ya Mtoano na Klabu za De Agosto, Big Bullets akazitupa nje. Mkiambiwa hamna akili mnanuna.
Mazembe wakipigwa kule kule kwao mada itabadilika, utaokoteza vimaneno vingine vya kijinga na kuvileta hapa, nyie pimbi wa umbumbuni mna shida kubwa sanalakini na sisi tuna mlima mbele ya Monastir, au hawatatoka? Ukizingatia kwamba mechi ya mwisho tunamfuata TP Mazembe, na ana hasira na sisi
Si hadi wapigwe sasa! 😁😁😁Mazembe wakipigwa kule kule kwao mada itabadilika, utaokoteza vimaneno vingine vya kijinga na kuvileta hapa, nyie pimbi wa umbumbuni mna shida kubwa sana
Mkuu hata mtibwa sugar ni Bora kuliko hizo timuWewe kweli ni empty brain, kwaiyo de agosto na big bullets nazo unaziesabu ni timu za maana, angalia timu ulizokutana nazo mpaka unafika hapo ulipo ndio ujitathmini na kikosi chako, de agosto na big bullet ni sawa na Ruvu shooting au mtibwa sugar tu kwa namna vikosi vyao vilivyo kwaiyo uwezi kujisifu eti kwa kuwa ulizitoa zile timu ndio uko vizuri ni kujidanganya
Viper waliwapiga utopolo kwenye sherehe yao wenyewe ikawa shubiriAmeperfom vizuri mbele ya timu dhaifu ie viper