Uchambuzi: Kwanini hawa nyota wa Simba wameachwa

Uchambuzi: Kwanini hawa nyota wa Simba wameachwa

lakini na sisi tuna mlima mbele ya Monastir, au hawatatoka? Ukizingatia kwamba mechi ya mwisho tunamfuata TP Mazembe, na ana hasira na sisi
Kwa mkapa hatoki mtu ......ila to MAZEMBE hata tukimwachia mechi ya mwisho siyo mbaya
 
Kila siku humu JF tukiwaambia mbu mbu mbu kuwa wanakikosi tia maji tia maji wanabisha Sasa nadhani wameelewa ...Yanga imetoa wachezaji Saba dhidi ya 3 kutoka mbumbumbu FC imagine mzize, sure boy out

Majibu: kwanini kapombe na zimbwe hawajaitwa

1: Kapombe ni mzito sana kukaba kiasi Kwamba hutumia nguvu kubwa kukaba. Akikutana na wachezaji wepesi + speed hivyo kuileta hatari ya kuleta madhambi ambayo ni faida Kwa WAPINZANI ....mfano penalty

Reference
Rejea mechi ya Azam Kipre junior alichomfanyia Kapombe .....mikimbo ilimtesa Hadi nusura kupewa red card na kusababisa penalty.....hivyo hafai Kwa mabeki wa kisasa

Zimbwe junior

Huyu bado ana mengi ya kujifunza kwenye hii modern football Kwani bado anapungukiwa na vitu vingi mfno ball accuracy. Umakini .. .na vingine vingi akikutana na wachezaji wanaitumia akili mfano Aziz ki

References
Mechi ya Simba na Yanga

NB. Ubora wa Yanga umefanya kuitwa wachezaji wake wengi

Kwa wachezaji hawa taifa stars inaenda kushinda ushindi nzito

View attachment 2550046
Ingawa watakupinga, ila kama umetumia kipimo cha ile mechi kati ya simba na Azam; aisee yule Kipre Junior aliwachezesha kwata hao mabeki wawili!!

Maana kama isingekuwa maamuzi ya kutatanisha, ile siku kulikuwa na kadi nyekundu moja! Na pia faulo ya huyo Shomari Kapombe, nje kidogo ya 18.
 
Ingawa watakupinga, ila kama umetumia kipimo cha ile mechi kati ya simba na Azam; aisee yule Kipre Junior aliwachezesha kwata hao mabeki wawili!!

Maana kama isingekuwa maamuzi ya kutatanisha, ile siku kulikuwa na kadi nyekundu moja! Na pia faulo ya huyo Shomari Kapombe, nje kidogo ya 18.
Kapombe aliotumia nguvu nyingi akili kisoda .....Kwa mtoto mdg
 
Hao hao Wachezaji wa Simba unaowaona Hawajui ndio wamefanya icheze Champions League. Na hao Magarasa unaowaona wajuzi ndio wameipeleka Uto kwenye kombe la Loosers. Akili kichwani kila mtu ana zake
Simba ilikutana na Al hilal au gwambina ya Angola na Malawi!?
 
Kwahiyo Umesahau kwamba Simba amecheza hatua ya Mtoano na Klabu za De Agosto, Big Bullets akazitupa nje. Mkiambiwa hamna akili mnanuna.
Wewe kweli ni empty brain, kwaiyo de agosto na big bullets nazo unaziesabu ni timu za maana, angalia timu ulizokutana nazo mpaka unafika hapo ulipo ndio ujitathmini na kikosi chako, de agosto na big bullet ni sawa na Ruvu shooting au mtibwa sugar tu kwa namna vikosi vyao vilivyo kwaiyo uwezi kujisifu eti kwa kuwa ulizitoa zile timu ndio uko vizuri ni kujidanganya
 
lakini na sisi tuna mlima mbele ya Monastir, au hawatatoka? Ukizingatia kwamba mechi ya mwisho tunamfuata TP Mazembe, na ana hasira na sisi
Mazembe wakipigwa kule kule kwao mada itabadilika, utaokoteza vimaneno vingine vya kijinga na kuvileta hapa, nyie pimbi wa umbumbuni mna shida kubwa sana
 
Wewe kweli ni empty brain, kwaiyo de agosto na big bullets nazo unaziesabu ni timu za maana, angalia timu ulizokutana nazo mpaka unafika hapo ulipo ndio ujitathmini na kikosi chako, de agosto na big bullet ni sawa na Ruvu shooting au mtibwa sugar tu kwa namna vikosi vyao vilivyo kwaiyo uwezi kujisifu eti kwa kuwa ulizitoa zile timu ndio uko vizuri ni kujidanganya
Mkuu hata mtibwa sugar ni Bora kuliko hizo timu
 
Back
Top Bottom