Uchambuzi: Kwanini Simba atapigwa 5+ na Wydad leo

Ukweli ni kwamba Simba wanakuaga na bahati tu wakiwa viwanja vya warabu. Jamaa hua wanakosa magpli mengi ya wazi. Naamini wydad wakiwa na utulivu wa kutosha Leo ushindi kwao lazima
Kabisa Mkuu ngoja muda ufike
 
Hii anaiweza tu nwananchi,wydad bao washing kivyao🤪
 
Najua ni ugeni na ulimbukeni kwenye haya mashindano ndiyo unawasumbua mnaazisha mada za kitoto, mkiyazoea threads kama hizi hazitakuwepo tena humu.
 
Muwe mnachambua hata kisamvu muwasaidie wake zenu.
 
Simba ilishajitafuta na kujipata away games dhidi ya waarabu. Mambo ya 5 sahauni utopwix
 
Embu futa hilo moja ulilowapa Simba, leo taifa linaenda kutia aibu nzito.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…