Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Uchambuzi wangu
Linapokuja suala la kucheza na waarabu ndugu zangu Wana msimbazi hata wawe vizuri vipi wakiwaona tu waarabu.....ndugu zangu ayubu fc wanapoteana uwanjani.....ukileta mechi ambayo Simba amewahi watwanga waarabu ( achana na kina horoya fc, vipers....hawa sio waarabu nami nitakupa mwaka ambao taifa stars itashinda world cup
Hizi ni baadhi ya sababu za Simba kuonewa na waarabu
1.Inferiority complex ya wachezaji wa makolo,.....wakiona tu waarabu inakua sawa na student kumuona mwalimu wake wa mathe...... tofauti na Yanga ambao wanawatwanga waarabu kwao
2. wachezaji wabovu, imagine una wachezaji kina baleke na saido ....pamoja na kuwa top scorer lakini hakuwa na goal hata la off-side kule mjini CAF......ila wakikutana na kina majimaji, horoya, vipers wanageuka kuwa kina Messi[emoji1][emoji1]
Point of reference
Yanga wenzetu wanawatwanga waarabu Hadi kwao .....kwanini isiwe kwetu sisi ayubu fc
Linapokuja suala la kucheza na waarabu ndugu zangu Wana msimbazi hata wawe vizuri vipi wakiwaona tu waarabu.....ndugu zangu ayubu fc wanapoteana uwanjani.....ukileta mechi ambayo Simba amewahi watwanga waarabu ( achana na kina horoya fc, vipers....hawa sio waarabu nami nitakupa mwaka ambao taifa stars itashinda world cup
Hizi ni baadhi ya sababu za Simba kuonewa na waarabu
1.Inferiority complex ya wachezaji wa makolo,.....wakiona tu waarabu inakua sawa na student kumuona mwalimu wake wa mathe...... tofauti na Yanga ambao wanawatwanga waarabu kwao
2. wachezaji wabovu, imagine una wachezaji kina baleke na saido ....pamoja na kuwa top scorer lakini hakuwa na goal hata la off-side kule mjini CAF......ila wakikutana na kina majimaji, horoya, vipers wanageuka kuwa kina Messi[emoji1][emoji1]
Point of reference
Yanga wenzetu wanawatwanga waarabu Hadi kwao .....kwanini isiwe kwetu sisi ayubu fc