Ukiwaza sana lazima mwisho ukumbuke haya ni maigizo tu[emoji848]Najiuliza kama Gandia alikua panic room na professor alijulishwa na Antonniaz, sasa kwanini asinge waambia watu wake waongozane na governor akawaoneshe hiyo panic room ilipo kama walikua hawapajui..kwa kweli hapa professor aliyumba
Sent using Jamii Forums mobile app
Na lile bomu walilolushiwa Rio na Denver sijui waliwezaje kulizuia mlipuko kwa kutumia helmet..yaan hapa imekua kama series ya kikorea
Sent using Jamii Forums mobile app
Isingenogaaaa ukakisiii wa gandia tungeliuoneaa wapi
Hivi BERLIN ali survive vipi na huku wajomba walikua wamemzingira?
Sent using Jamii Forums mobile app
Governor asingesema kabisa, yupo royal sana maana hata code za bank kufungua sefu ya zile.confidential document aligoma kuitajaNajiuliza kama Gandia alikua panic room na professor alijulishwa na Antonniaz, sasa kwanini asinge waambia watu wake waongozane na governor akawaoneshe hiyo panic room ilipo kama walikua hawapajui..kwa kweli hapa professor aliyumba
Sent using Jamii Forums mobile app
Governor ni mtu wa principle sana asingekubali, na Professor analijua hilo maana alimsoma (rejea season 3) So akaona ni heri apoteze muda mwenyewe kuitafuta kuliko kupotezewa muda na mtu anayejua hataweza kusema.Najiuliza kama Gandia alikua panic room na professor alijulishwa na Antonniaz, sasa kwanini asinge waambia watu wake waongozane na governor akawaoneshe hiyo panic room ilipo kama walikua hawapajui..kwa kweli hapa professor aliyumba
Sent using Jamii Forums mobile app
Prof. pale aliniangusha, alikamatwa kiboya sana, alikwenda kwa yule Askari waliyemnunua na hakufikilia kuhusu CCTV camera..alishindwa kufukia baadhi ya njia zake, ila nadhan katika season 5 lazima alikuwa na Plan ikiwa akakamatwa eneo lile..Mwanamama mjanjajanja Alice ametimba kambini kwa Profesa na Mimba yake Sijui kitatokea nini.
Imeniuma Nairobi Kufariki...