Pre GE2025 Uchambuzi: Maandamano yanaibomoa CHADEMA kuliko kuijenga

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wazazi wako wana hasara masikini. Miezi 9 unatoa takataka kama hii!
 
Hapo ulipo umeme upo?
Maji yapo?
Nauli hazijapand?
Sukari inauzwaje
Ada za vijana ushalipa?
Unatumia muda mreeeefu kuandika ujinga na upuuzi kwa faida ya nan?
Yule JOYCE WOWO/Bashite aliyekuwa anapiga kelele huko mikoani akiwadanganya wajinga wenzie amekijenga chama au kakibomoa?
Ati uchambuzi wa kitaalamu ???
 
Chadema ni mbumbumbu

Maandamano yao mpaka aibu

Niliwaambia wananchi wamestuka hawana time na Siasa taka
 
Toa faida zq ziara za Joyce wowo/bashite kwanza kablq ya kuita watu vibaraka. Shetani wa kijani wewe
 
Toa faida zq ziara za Joyce wowo/bashite kwanza kablq ya kuita watu vibaraka. Shetani wa kijani wewe
amewamaliza chadema right, left and center. wananchi wamegoma kabisa kujitokeza na kuandamana na pupeti ambae pia mbowe kamkata ngebe asiongea hata kaneno kamoja mkutanoni na kumpatia dr.slaaa airtime kama yote 😀
 
Watanzania wengi mna akili fupi. Mabadiliko hayaji kwasababu umeandamana siku moja, ni process na wanachofanya CHADEMA ni sawa kabisa polepole mabadiliko yatakuja. Acheni kusimama mbali na kulaumu nyie wavivu na woga, mnakosa sukari, umeme, hali ngumu ya maisha lakini bado mnashindwa kuunga mkono juhudi za kuiamsha serikali. Watanzania ni watu wenye akili mgando sana.
 
K
amewamaliza chadema right, left and center. wananchi wamegoma kabisa kujitokeza na kuandamana na pupeti ambae pia mbowe kamkata ngebe asiongea hata kaneno kamoja mkutanoni na kumpatia dr.slaaa airtime kama yote 😀
Ukujibu wewe ni kupoteza muda tu maana hata yanayoendelea hujui.
 
Tatizo Tz maandamano hayajazoeleka sababu watu wake waliowengi hawana elimu juu ya faida zake na wanaona km kitu kigeni na ANASA wakati ni HAKI ya msingi KIKATIBA. Siku watu wakiacha kufikiri kwa kutumia matumbo yao ndo siku ambayo hawatashangaa maandamano.

MWISHO:
Ukiskia MBWA analia kwa uchungu "bwe bwe, bwe, bwe" jua jiwe limempata kisawasawa.
 
Sawa makaptula hatujakuelewa
 
K

Ukujibu wewe ni kupoteza muda tu maana hata yanayoendelea hujui.
sijui akati ata mgombea urasi pendekezwa wa chadema ambae ni Dr. slaa namfahamu 😀

kibaraka taratibu anaanza kutoswa kwenye reli kwa kuckezeshwa bench kwenye mechi muhimu...
 
Mbona unateseka na kipande cha sabuni ukipiga nyeto na kujiongopea unagonga bonge la demu. Gari limeshawaka hili
 
Majibu ya serikali! JPM angekuwepo angejibu huu upupu
 

Attachments

  • Screenshot_20240220-092406_WhatsApp.jpg
    32.1 KB · Views: 3
Haya maandamano yanawaumiza sana sana CCM. Leo wanashindana kufungua thread kuyakandia. Mpaka picha wamepiga sehemu zile ambazo hazina watu wengi ili ionekane maandamano hayakuwa na watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…