Pre GE2025 Uchambuzi: Maandamano yanaibomoa CHADEMA kuliko kuijenga

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mkuu! Hiki chama hakijafa na wala hakitakufa! Kama JPM alikipania kukiua, lakini hatimaye yeye akafa na kukiacha nadhani hakiwezi kufa tena!
Hiki chama kiko mioyoni mwa Watanazania!
Nadhani ni harakati za chama hicho ndiyo zinazotishia uhai wa Chama pendwa!
 
Wachawi siku zote wanafurah mtu akiharibikiwa sasa wewe kama CDM wanaharibikiwa si ndio furaha yako maelezo mengi ya nini mkuu au we bado hujapanda cheo
 
Waliweza miaka hio huko miaka hii sahau
Again Uchama unaturudisha nyuma...; Sababu maandamano kama ni ya kupinga Ugumu wa Maisha na Kuishinikiza Serikali nina uhakika kila mwananchi wa kawaida anaguswa... lakini sababu mambo haya yapo politically mwisho wa siku tunaishia kwenye Ushabiki wa Simba ya na Yanga
 
Unateseka ukiwa wapi
 
Nina mashaka na elimu yako, yu mkini wewe ni chawa, kuhusu habari ya chadema kufa Hilo sahau, palikuwa na chuma kwelikweli aliapa viapo vyote kuwa ataakikisha anaiua chadema badala yake alikufa yeye akaiacha chadema ikiimarika zaidi.

Kuhusu maendeleo maendeleo Gani ya kujenga shule kila siku, unadai maisha ni mazuri chini ya Mama hivi hii hali ngumu uioni Kila kitu kipo juu, nauli ,mafuta, sukari hakuna maji hakuna umeme hakuna halafu unaleta kebehi kudharau watu wanaopaza sauti juu ya wanyonge wanaoburuzwa, una matatizo au mahaba yamekupofusha au yamkini ni Moja ya majizi yanayofisadi nchi, atudanganyiki kama upo masaki au mikocheni njoo site huone watu wanavyotabika, tushukuru hizi mvua zitaleta ahueni lakini bila hivyo Hali ingezidi kuwa mbaya sana some time muwe mnaficha upumbavu wenu kwa kuandika upumbavu jamvini.
 
Uzi mrefu usio na maana yoyote.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
ID yako inafanana sana na “son of a bitch”
 
Maandamano ni njia mojawapo ya kutoa hisia ya wananchi kwa serikali yao, mbadala wake ni ziara za Makonda kusikiliza kero. Hivyo njia zote hizi ni muafaka katika kuwaendea wananchi na kulia nao kuliko kunyamaza tu. iwapo hatua hazitachukuliwa na serikali dhidi ya kero hizo ninaamini wananchi watajenga taswira hasi dhidi ya serikali na itawajenga Chadema kuwa wametekeleza wajibu wao wa kuwatetea wananchi. serikali ikichukua hatua pia itajijenga kuwa ni sikivu na haina kiburi kuhusu maumivu ya wananchi ambayo ni halisi na yapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…