Uchambuzi: Magoli ya Simba ni ya bahati, bado ni mbovu

dada mleta mada ipo hivi, unapokuwa unapigwa bao wakati wa kufanya mapenzi, haijalishi aliyekupiga bao ni dereva bodaboda au afisa wa bank. bao ni bao tu, mengine mbwembwe.
Naona wanasimba tunafurahia sare nyumbani
 
🀣🀣🀣 Hukuona Header ile naona umeiruka hujasema kama ni ya bahati mbaya
 
Mnateseka sana ngojeni mtokwe bawasiri siyo kwa stress hizi mnazojitakia
 
Ukiumbuka chutama.. Ukiongea unazidi kujidhalilisha labda tu kwa kukubali umepotoka!
Linganisha post yako hii ni zile nyingi kabla ya mechi. Ni mbingu za ardhi.. Mpira ni magoli sio chenga! Uchambuzi wowote baada ya mechi kwa mtu alikuwa biased na kila aina ya kejeli unabaki kuwa uchambuzi wa kipuuzi na kujifariji
Ningekuwa mimi ninepiga kimya

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Simba kaiheshimisha Tanganyika mbele ya dunia: Wachambuzi uchwara karibuni mtoe nyongo zenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtakutana nao tu, tutaona mtakavyopakatwa, wale sio Ihefu.
 
Magoli ya bahati yasingemfanya Wenger kutoa "standing ovation" (heshima kwa mtu kufanya au kusema kitu bora cha kipekee). Kama umewasikiliza wachezaji nguli wa zamani leo hapo AZAM TV usingethubutu kusema hivyo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…