NGOSWE2
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 1,323
- 1,608
Si ni huyo mtatiro aliyekimbia chama chake?Uchambuzi Mahsusi wa Julius S. Mtatiro (Wakili) na Ally M. Kileo (Wakili) kuhusu Uchaguzi wa TLS
mkubwa wa taaluma ya sheria katika eneo la biashara, ajira na mahusiano kazini. +255787630150 (kileoally@yahoo.com).
Na yeye si yupo upande wa serikali atawezaje kumuunga mkono MWABUKUSI.