UCHAMBUZI: Maneno ya matusi yatafanya wimbo wa Ben Pol ufungiwe?

UCHAMBUZI: Maneno ya matusi yatafanya wimbo wa Ben Pol ufungiwe?

Kwenye mahojiano anasema eti mashabiki hatujui maana ya sanaa huyu Ben Shoga, hivi mwanaume kuonyesha msambwanda nayo ni sanaa? Eti rayyoungr una maoni gani?
Huenda akawa amefanya mistake, kwasababu yeye ni mgeni kwenye hizi ishu za kutafuta kiki ya kutolea wimbo.
So ndio mwanzo wa kujifunza
 
Mkuu me naona ishu ya kuruhusiwa kuproduce dirty version ni sawa lakini kwa tamaduni zetu sheria ya kuruhusu zipiga hadharani haitafanikiwa, unaeza kuta huyo kijana anaipiga hiyo version hata kwenye daladala tu.
 
Mkuu me naona ishu ya kuruhusiwa kuproduce dirty version ni sawa lakini kwa tamaduni zetu sheria ya kuruhusu zipiga hadharani haitafanikiwa, unaeza kuta huyo kijana anaipiga hiyo version hata kwenye daladala tu.
Dirty version iwe kwa matumizi binafsi... Na itolewe version ya Clean, kwaajili ya kuchezwa kwenye mass media
 
huyu nae anapenda matak.ooo!
kaanza kuyaonyesha sa hizi anayaandika!
psyuuu!
 
Je kama kajipaka mwenyewe? Au kama kapakwa na mademu?
Hata kama kapakwa na mama ake....Mwanaume ni mwiko mtu mwingine kukupaka mafuta kwenye makalio alafu kutupigia na picha tuone makalio yako yalivyokolea mafuta.

Mwambie wananchi wamechukia na asirudie tena upuuzi wake.
 
Hata kama kapakwa na mama ake....Mwanaume ni mwiko mtu mwingine kukupaka mafuta kwenye makalio alafu kutupigia na picha tuone makalio yako yalivyokolea mafuta.

Mwambie wananchi wamechukia na asirudie tena upuuzi wake.
Sijaiona picha inayoonesha matak.o ya Ben, hebu kama unayo please iweke hapa
 
Nimeusikiliza huu wimbo kwa mara ya kwanza mida hii, sasa kuna kitu kimenishtua na nadhani inaweza isiwe habari nzuri kwa Ben.

Kuna kipengele
kipo kama kibwagizo kwenye wimbo mpya wa Ben Pol
kinasema
''Tak.o tatu wazungu waah / Tak.o tatu Samatta waah''
-
Kwa ambaye hajaelewa ni hivi:

Tak.o Tatu=Kupump mara tatu
Wazungu=mbegu za kiume

Samatta=bao

It means kwamba kwajinsi demu alivyomkolea basi jamaa akipump mara tatu tu anapiga goli.
..
Je, hauhisi kwamba huu wimbo unaweza kufungiwa endapo hayo matusi wakiyabaini BASATA/TCRA....
-
Maoni yangu;
Nadhani kimefika kipindi kwa serikali kuanza kuruhusu kisheria nyimbo zenye mahadhi ya utupu au wenzetu wanaita EXPLICIT/ DIRTY VERSION.
nadhani itatoa fursa kwa wasanii kutoa ujumbe walioukusudia kwenda kwenye rika fulani walilolilenga, manake sio nyimbo zote zitawalenga wenyeviti wa vitongoji, Nyimbo nyengine unakuta msanii amedhamiria kuburudisha vijana wa aina fulani, sasa tusiforce wala tusiwapangie wanamuziki, maana wao ndio wanajua jinsi ya kuwagusa fans wao.
N.B
Kama haujui utaratibu wa EXPLICIT VERSION /CLEAN VERSION basi ni vema ukafunga bakuli lako au ukaenda kujiongeza kwanza kabla ya kumwaga OMO
Tackle for sale
 
Sijaiona picha inayoonesha matak.o ya Ben, hebu kama unayo please iweke hapa
hata mini nataka niione hiyo picha. Inawezekama labda mini nina makengeza huwa sioni vizuri
 
Nyimbo nyingi za wasanii wa kibongo zimejaa matusi ya waziwazi, mfano na ule wimbo wa "" baba ...baba..huyoo!!! ale baba huyoo!! nadhani haya ni matokeo ya wasanii wengi wana asili ya pwani/ uzaramoni na wengine wageni wameiga mfumo wa nyimbo zao za mchiriku ambao umejaa mafumbo ya wazi ambayo inaleyta tafsiri mbaya moja moja kwa jamiii
 
Nyimbo nyingi za wasanii wa kibongo zimejaa matusi ya waziwazi, mfano na ule wimbo wa "" baba ...baba..huyoo!!! ale baba huyoo!! nadhani haya ni matokeo ya wasanii wengi wana asili ya pwani/ uzaramoni na wengine wageni wameiga mfumo wa nyimbo zao za mchiriku ambao umejaa mafumbo ya wazi ambayo inaleyta tafsiri mbaya moja moja kwa jamiii
Una rambooo,,, mi nna muwa.....
ale utam kolea prokoto ting'ali ting'ali ndani kwa moto... N.K...
 
Back
Top Bottom