Uchambuzi: Mbinu 3 za Yanga kufuzu Robo Fainali klabu Bingwa Afrika 2024/2025

Uchambuzi: Mbinu 3 za Yanga kufuzu Robo Fainali klabu Bingwa Afrika 2024/2025

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Leo tumeshuhudia Shirikisho la Mpira wa miguu Afrika ( CAF) wa upangaji wa hatua ya makundi kombe la Klabu Bingwa Afrika (CAFCL) na Kombe la Shirikisho Afrika ( CAFCCL) ambapo Yanga kwenye Klabu Bingwa Afrika wamepangwa na TP Mazembe DR Congo, Al Hilal ya Sudan na MC Alger ya Algeria.

Kwa upande wa Simba wao kwenye Kombe la Shirikisho Afrika msimuwa 2024/2025 pamoja na CS Sfaxien ya Tunisia, CS Constantine ya Algeria na Fc Bravos ya Angola.

Sasa nitaweka mambo kama matatu ambao Yanga wanapaswa kuyafanya ili wafanikiwe kufuzu hatua ya robo fainali. Kwanza timu ambazo Yanga SC amepangwa nazo si ngeni kabisa maana ya kwamba katika misimu ya hivi karibuni wamekutana katika misimu miwili iliyopita walikutana na TP Mazembe katika kombe la shirikisho na Yanga aliibuka kwa ushindi katika mechi zote za nyumbani na ugenini kwa kumfunga jumla ya magoli manne kwa moja (4 - 1).

Lakini kwa upande mwingine Yanga katika misimu 3 hivi pia walikutana na Al Hilal katika hatua za awali kabisa Yanga alipoteza mbele ya AL Hilal na kushindwa kwenda katika hatua inayofuta. Lakini huyu MC Alger waliwahi kucheza na Yanga misimu kadhaa nyuma na Yanga nakumbuka alipasuka goli 4.

Sasa ukitazama hapa unaona Yanga anafaida ya kuwafahamu wapinzani wao katika hatua hizi za makundi .

1. Yanga SC ahakikishe anashinda mechi zake zote za home ili kuhakikisha anapata nafasi ya kwenda hatua ya Robo fainali. Asikubali yatokee ya msimu uliopita licha alifanikiwa kwenda katika hatua ya robo fainali. Maana alianza nyumbani dhidi ya AL ahly na kulazimishwa sare ya 1 -1, na awamu hii anaanzia home dhidi ya AL Hilal.

2. Kuwaheshimu sana wapinzani katika mechi zao zote ziwe za nyumbani au ugenini ii kujihakikishia nafasi ya kufuzu robo fainali.

3. Kocha na bechi lao lote la ufundi sasa ni wakati wa kuanza kuzifutailia mechi za wapinzani wao kalba awajakutana hii inaweza kuwasidia kufahamu ubora na udhaifu wa wapinzani wao upo vipi na wao kwenda kuyafanyia kazi ili waweze kupata matokeo mazuri kwa kila mchezo.

Timu ya Wananchi naiyona Nusu fainali kama akipita hapa. Ni hayo wadau wa soka!

Soma Pia: CAFCL & CAFCC Group Stage Draw 2024
 
Leo tumeshuhudia Shirikisho la Mpira wa miguu Afrika ( CAF) wa upangaji wa hatua ya makundi kombe la Klabu Bingwa Afrika (CAFCL) na Kombe la Shirikisho Afrika ( CAFCCL) ambapo Yanga kwenye Klabu Bingwa Afrika wamepangwa na TP Mazembe DR Congo, Al Hilal ya Sudan na MC Alger ya Algeria.

Kwa upande wa Simba wao kwenye Kombe la Shirikisho Afrika msimuwa 2024/2025 pamoja na CS Sfaxien ya Tunisia, CS Constantine ya Algeria na Fc Bravos ya Angola.

Sasa nitaweka mambo kama matatu ambao Yanga wanapaswa kuifanya ili wafanikiwe kufuzu hatua ya robo fainali. Kwanza timu ambazo Yanga SC amepangwa nazo si ngeni kabisa maana ya kwamba katika misimu ya hivi karibuni wamekutana katika misimu miwili iliyopita walikutana na TP Mazembe katika kombe la shirikisho na Yanga aliibuka kwa ushindi katika mechi zote za nyumbani na ugenini kwa kumfunga jumla ya magoli manne kwa moja (4 - 1).

Lakini kwa upande mwingine Yanga katika misimu 3 hivi pia walikutana na Al Hilal katika hatua za awali kabisa Yanga alipoteza mbele ya AL Hilal na kushindwa kwenda katika hatua inayofuta. Lakini huyu MC Alger waliwahi kucheza na Yanga misimu kadhaa nyuma na Yanga nakumbuka alipasuka goli 4.

Sasa ukitazama hapa unaona Yanga anafaida ya kuwafahamu wapinzani wao katika hatua hizi za makundi .

1. Yanga SC ahakikishe anashinda mechi zake zote za home ili kuhakikisha anapata nafasi ya kwenda hatua ya Robo fainali. Asikubali yatokee ya msimu uliopita licha alifanikiwa kwenda katika hatua ya robo fainali. Maana alianza nyumbani dhidi ya AL ahly na kulazimishwa sare ya 1 -1, na awamu hii ananzia home dhidi ya AL Hilal.

2. Kuwaheshimu sana wapinzani katika mechi zao zote ziwe za nyumbani au ugenini ii kujihakikishia nafasi ya kufuzu robo fainali.

3. Kocha na bechi lao lote la ufundi sasa ni wakati wa kuanza kuzifutailia mechi za wapinzani wao kalba awajakutana hii inaweza kuwasidia kufahamu ubora na udhaifu wa wapinzani wao upo vipi na wao kwenda kuyafanyia kazi ili waweze kupata matokeo mazuri kwa kila mchezo.

Timu ya Wananchi naiyona Nusu fainali kama akipita hapa. Ni hayo wadau wa soka!

Soma Pia: CAFCL & CAFCC Group Stage Draw 2024
Inakuwaje unaona nusu fainali wakati hatujui hata robo utakutana na nani? Msipokuwa makini, hili suala la Yanga kuweka malengo yake kutokana na mafanikio na malengo ya Simba itawasumbua sana.
 
Leo tumeshuhudia Shirikisho la Mpira wa miguu Afrika ( CAF) wa upangaji wa hatua ya makundi kombe la Klabu Bingwa Afrika (CAFCL) na Kombe la Shirikisho Afrika ( CAFCCL) ambapo Yanga kwenye Klabu Bingwa Afrika wamepangwa na TP Mazembe DR Congo, Al Hilal ya Sudan na MC Alger ya Algeria.

Kwa upande wa Simba wao kwenye Kombe la Shirikisho Afrika msimuwa 2024/2025 pamoja na CS Sfaxien ya Tunisia, CS Constantine ya Algeria na Fc Bravos ya Angola.

Sasa nitaweka mambo kama matatu ambao Yanga wanapaswa kuifanya ili wafanikiwe kufuzu hatua ya robo fainali. Kwanza timu ambazo Yanga SC amepangwa nazo si ngeni kabisa maana ya kwamba katika misimu ya hivi karibuni wamekutana katika misimu miwili iliyopita walikutana na TP Mazembe katika kombe la shirikisho na Yanga aliibuka kwa ushindi katika mechi zote za nyumbani na ugenini kwa kumfunga jumla ya magoli manne kwa moja (4 - 1).

Lakini kwa upande mwingine Yanga katika misimu 3 hivi pia walikutana na Al Hilal katika hatua za awali kabisa Yanga alipoteza mbele ya AL Hilal na kushindwa kwenda katika hatua inayofuta. Lakini huyu MC Alger waliwahi kucheza na Yanga misimu kadhaa nyuma na Yanga nakumbuka alipasuka goli 4.

Sasa ukitazama hapa unaona Yanga anafaida ya kuwafahamu wapinzani wao katika hatua hizi za makundi .

1. Yanga SC ahakikishe anashinda mechi zake zote za home ili kuhakikisha anapata nafasi ya kwenda hatua ya Robo fainali. Asikubali yatokee ya msimu uliopita licha alifanikiwa kwenda katika hatua ya robo fainali. Maana alianza nyumbani dhidi ya AL ahly na kulazimishwa sare ya 1 -1, na awamu hii ananzia home dhidi ya AL Hilal.

2. Kuwaheshimu sana wapinzani katika mechi zao zote ziwe za nyumbani au ugenini ii kujihakikishia nafasi ya kufuzu robo fainali.

3. Kocha na bechi lao lote la ufundi sasa ni wakati wa kuanza kuzifutailia mechi za wapinzani wao kalba awajakutana hii inaweza kuwasidia kufahamu ubora na udhaifu wa wapinzani wao upo vipi na wao kwenda kuyafanyia kazi ili waweze kupata matokeo mazuri kwa kila mchezo.

Timu ya Wananchi naiyona Nusu fainali kama akipita hapa. Ni hayo wadau wa soka!

Soma Pia: CAFCL & CAFCC Group Stage Draw 2024
Yaani Gamondi aje afundishwe na mtu wa darasa la II B?
 
Inakuwaje unaona nusu fainali wakati hatujui hata robo utakutana na nani? Msipokuwa makini, hili suala la Yanga kuweka malengo yake kutokana na mafanikio na malengo ya Simba itawasumbua sana.
Hahahaa mashabiki wa simba wapumbavu, nyie ndio mlioweka malengo ya Yanga ya kufika fainali shirikisho wakati hata nusu hamjawahi kuvuka? Malengo ya Yanga msimu huu CAFCL ni kufika ROBO fainali tu.
 
Hahahaa mashabiki wa simba wapumbavu, nyie ndio mlioweka malengo ya Yanga ya kufika fainali shirikisho wakati hata nusu hamjawahi kuvuka? Malengo ya Yanga msimu huu CAFCL ni kufika ROBO fainali tu.
Ni kweli unalosema kuwa malengo ya Simba ya kufika fainali msimu huu yamechagizwa sana na Yanga kufika fainali misimu miwili nyuma ila kwa timu ambayo imefika robo fainali ya CAFCL kwa misimu mitano mfululizo si jambo la kushangaza kusema imejiwekea malengo ya kufika fainali ya CAFCC. Nyie sasa hayo malengo ya nusu fainali ni kama yameibuka tu. Timu hazifiki tu nusu fainali kwa kuota.
 
Ni kweli unalosema kuwa malengo ya Simba ya kufika fainali msimu huu yamechagizwa sana na Yanga kufika fainali misimu miwili nyuma ila kwa timu ambayo imefika robo fainali ya CAFCL kwa misimu mitano mfululizo si jambo la kushangaza kusema imejiwekea malengo ya kufika fainali ya CAFCC. Nyie sasa hayo malengo ya nusu fainali ni kama yameibuka tu. Timu hazifiki tu nusu fainali kwa kuota.
Ulicho shindwa ww husizani na Yanga atashindwa.
 
Ni kweli unalosema kuwa malengo ya Simba ya kufika fainali msimu huu yamechagizwa sana na Yanga kufika fainali misimu miwili nyuma ila kwa timu ambayo imefika robo fainali ya CAFCL kwa misimu mitano mfululizo si jambo la kushangaza kusema imejiwekea malengo ya kufika fainali ya CAFCC. Nyie sasa hayo malengo ya nusu fainali ni kama yameibuka tu. Timu hazifiki tu nusu fainali kwa kuota.
Hata CAFCC Yanga ilifika fainali bila kupanga.
Msimu uliopita, malengo yalikuwa makundi, ila Yanga akafika Robo. Kwahiyi wache mashabiki wajipangie kufika nusu fainali, tutajua tu ni kwa kuota au vipi
 
Inakuwaje unaona nusu fainali wakati hatujui hata robo utakutana na nani? Msipokuwa makini, hili suala la Yanga kuweka malengo yake kutokana na mafanikio na malengo ya Simba itawasumbua sana.
Hata Simba wanajiwekea kufika fainali ila hawajui robi watakutana na nani. Mashabiki wa Simba na Yanga wanashahabiana mambo. Kwahiyo ukipinga mambo wa Yanga basi ujue unajipinga na wewe Simba
 
Ulicho shindwa ww husizani na Yanga atashindwa.
Point ya msingi ni kuwa inakuwaje malengo hayo yameibuka baada ya Simba kujiwekea malengo hayo? Yanga imeanza kuongelea habari za nusu fainali msimu uliopita wakati Simba imeanza kusema lazima itoke kwenye mkwamo wa robo fainali, jiulize kwa uwezo na rekodi gani muwaze nusu fainali ghafla hivi kama siyo kwa kuangalia Simba.
 
Hata CAFCC Yanga ilifika fainali bila kupanga.
Msimu uliopita, malengo yalikuwa makundi, ila Yanga akafika Robo. Kwahiyi wache mashabiki wajipangie kufika nusu fainali, tutajua tu ni kwa kuota au vipi
Msimu uliopita mlikuwa mnaongelea nusu fainali hivi hivi kwa kuiiga Simba
 
Point ya msingi ni kuwa inakuwaje malengo hayo yameibuka baada ya Simba kujiwekea malengo hayo? Yanga imeanza kuongelea habari za nusu fainali msimu uliopita, jiulize kwa uwezo na rekodi gani muwaze nusu fainali ghafla hivi kama siyo kwa kuangalia Simba.
Wewe una matatizo mkutano wa Yanga ulifanyika mapema hata kabla ya kuanza hizi mbwembwe za kutangaza wachezaji wapya na walitangaza malengo yao kabla yenu. Hersi alisema lengo la Yanga ni kuingia robo msimu huu. Msimu uliopita Hersi alisema nia ya Yanga ni kuingia makundi, hivyo hivyo kwenye shirikisho mwaka juzi ila ndio hivyo shirikisho tuliingia fainali na championship tukaingia robo

Maelngo ya club yenu mtu wa kwanza kuyaongelea ni Magoli alipo hojiwa na Bin Zuberi Azam,tena wiki kazaa zilizopita baada ya mkutano wa Yanga.

Arsenal na Chelsea timu za London, ila Arsenal kipindi cha nyuma alikuwa anafanya vizuri sana, kiliko Chelsea japo alikuwa anaishia robo, ila Chelsea mpaka sasa ana UEFA mbili. Morihno na Porto walikuwa hawana rekodi yoyote UEFA,ila akabeba ndoo.

Kwenye mpira yote yanawezekana ni mipango tu na mipango yenu na Yanga haifanani na kama ulishindwa kufika nusu ni wewe,Yanga itapambana mpaka itakapo ishia.
 
Ni kweli unalosema kuwa malengo ya Simba ya kufika fainali msimu huu yamechagizwa sana na Yanga kufika fainali misimu miwili nyuma ila kwa timu ambayo imefika robo fainali ya CAFCL kwa misimu mitano mfululizo si jambo la kushangaza kusema imejiwekea malengo ya kufika fainali ya CAFCC. Nyie sasa hayo malengo ya nusu fainali ni kama yameibuka tu. Timu hazifiki tu nusu fainali kwa kuota.
We utafika fainali kwa kusinzia? Ikiwa hujawahi kuvuka hatua zaidi ya robo tena hiyo hiyo shirikisho? Yanga msimu jana ilikuwa ni kuvuka makundi na msimu huu ni kufika robo fainali...ikija hatua ya mbele hiyo ni bonus sio malengo ya yanga. Pambaneni akina deborah fainali shirikisho sio lele mama mjue
 
We utafika fainali kwa kusinzia? Ikiwa hujawahi kuvuka hatua zaidi ya robo tena hiyo hiyo shirikisho? Yanga msimu jana ilikuwa ni kuvuka makundi na msimu huu ni kufika robo fainali...ikija hatua ya mbele hiyo ni bonus sio malengo ya yanga. Pambaneni akina deborah fainali shirikisho sio lele mama mjue
Uto kwa kujizima data hamjambo
 
Kabla hujarolopoka jiulize una mafanikio gani kumzidi Yanga mpaka awe malengo yake kufuatana na makolo
Mnakejeli Simba kufika robo fainali ila wakati huo huo mnajiwekea malengo ya kufika robo fainali. Viumbe wa ajabu sana nyie. Wivu na uswahili unawasumbua.
 
Back
Top Bottom