Uchambuzi: Mbinu 3 za Yanga kufuzu Robo Fainali klabu Bingwa Afrika 2024/2025

Uchambuzi: Mbinu 3 za Yanga kufuzu Robo Fainali klabu Bingwa Afrika 2024/2025

Wewe una matatizo mkutano wa Yanga ulifanyika mapema hata kabla ya kuanza hizi mbwembwe za kutangaza wachezaji wapya na walitangaza malengo yao kabla yenu. Hersi alisema lengo la Yanga ni kuingia robo msimu huu. Msimu uliopita Hersi alisema nia ya Yanga ni kuingia makundi, hivyo hivyo kwenye shirikisho mwaka juzi ila ndio hivyo shirikisho tuliingia fainali na championship tukaingia robo

Maelngo ya club yenu mtu wa kwanza kuyaongelea ni Magoli alipo hojiwa na Bin Zuberi Azam,tena wiki kazaa zilizopita baada ya mkutano wa Yanga.

Arsenal na Chelsea timu za London, ila Arsenal kipindi cha nyuma alikuwa anafanya vizuri sana, kiliko Chelsea japo alikuwa anaishia robo, ila Chelsea mpaka sasa ana UEFA mbili. Morihno na Porto walikuwa hawana rekodi yoyote UEFA,ila akabeba ndoo.

Kwenye mpira yote yanawezekana ni mipango tu na mipango yenu na Yanga haifanani na kama ulishindwa kufika nusu ni wewe,Yanga itapambana mpaka itakapo ishia.
Na amesahau kua VAR ndio uliotunyima semi msimu uliopita
 
Mnakejeli Simba kufika robo fainali ila wakati huo huo mnajiwekea malengo ya kufika robo fainali. Viumbe wa ajabu sana nyie. Wivu na uswahili unawasumbua.
Malengo ya kufika yalikua misimu ya Confederation. Kwasasa malengo ni walau nusu mpaka fainali kabisa
 
We utafika fainali kwa kusinzia? Ikiwa hujawahi kuvuka hatua zaidi ya robo tena hiyo hiyo shirikisho? Yanga msimu jana ilikuwa ni kuvuka makundi na msimu huu ni kufika robo fainali...ikija hatua ya mbele hiyo ni bonus sio malengo ya yanga. Pambaneni akina deborah fainali shirikisho sio lele mama mjue
Kwahiyo mlijua robo cafcl ni lele mama?
 
Hahahaa mashabiki wa simba wapumbavu, nyie ndio mlioweka malengo ya Yanga ya kufika fainali shirikisho wakati hata nusu hamjawahi kuvuka? Malengo ya Yanga msimu huu CAFCL ni kufika ROBO fainali tu.

Tumia maneno vizuri mkuu.
Si hekima kusema mashabiki wa simba ni wapumbavu wengine ni weledi wenye akili timilifu.
 
Hahahaa mashabiki wa simba wapumbavu, nyie ndio mlioweka malengo ya Yanga ya kufika fainali shirikisho wakati hata nusu hamjawahi kuvuka? Malengo ya Yanga msimu huu CAFCL ni kufika ROBO fainali tu.
Nye wapumbavu huwa mna malengo ya kipuuzi,hujavuka hatua ya mwanzo mnazungumzia hatua inayofuata. Kama siyo wehu ni nini
 
Back
Top Bottom