Zanzibar 2020 Uchambuzi: Nafasi ya Profesa Makame Mbarawa kwenye Urais Zanzibar

Zanzibar 2020 Uchambuzi: Nafasi ya Profesa Makame Mbarawa kwenye Urais Zanzibar

Mbarawa bila mbeleko ya John hakatizi yule..... mbona hili liko wazi?
 
huenda zikaibuka na lazima kupatiwa maelezo. Inaelezwa kwamba katika utawala wa awamu ya nne Mbarawa akiwa Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia aligombana na Bi Saada kutokana na kile kilochotajwa Mbarawa kutoijali Zanzibar na kwa kuipa kipaumbele kwenye miradi. Hii inaweza kutumika kama taarifa ya kuhoji mapenzi yake kwa Zanzibar na huenda ikamtesa katika uchaguzi.

Jinamizi hili halitomwacha salama Prof. katika uchaguzi huu wa 2020.
 
Kikwazo cha kwanza kinatajwa ni kutokubalika vya kutosha Pemba ambako ni kwao. Tafiti zinaonyesha hata kabla ya zoezi la kuchukua fomu, kutafuta wadhamini na kuzirudisha halijaanza tayari kuna dalili kwamba Profesa Mbarawa ameanza kuwa na wakati mgumu kupata wadhamini kwao Pemba. Ili aweze kufanikiwa ni lazima atengeneze mazingira kwanza ya kukubalika na watu wa kwao.

Uchambuzi mzuri wa siasa za Zanzibar zilivyo na namna inavyoweza kuathiri kutibua nyota yake kisiasa Profesa Makame Mbarawa
 
Jambo la tatu ambalo lazima kiunzi chake akiruke ni tuhuma za kuwa na mke Rai wa Uganda. Wazanzibari na hakika Watanzania ni watu wanaokumbatia sana utaifa na japo wanaweza kujinadi kwamba wanaheshimu na kujali watu wote, ni watu tofauti sana wanapoona mtu anayetaka ridhaa ya kuwaongoza ana mke mgeni. Bado ni ngumu kufahamu mbinu gani itatumika kupindua mjadala wa jambo hilo lakini ni jambo ambalo huenda likawa na mjadala mkubwa katika maamuzi ya

Hapa atakuwa kama Profesa Mark Mwandosya ambaye mkewe ni raia wa Uganda na labda ndicho kilichopelekea CCM Tanganyika kumfanyia fitna za kisiasa. Je Profesa Makame Mbarawa fitna zilezile zilizomkumba Mzee Mwandosya zitafifisha nafasi yake kuteuliwa katika wale 3 waZanzibari ndani ya CCM Zanzibar kuwania urais SMZ kule Dodoma ?

Historia ya Mzee Mark Mwandosya :
Kwa kifupi


8 Jun 2015
Prof. Mark James Mwandosya akitangaza nia kugombea urais kupitia CCM 2015, Mbeya June 1 2015
 
Kwenye vikwazo kuna mambo muhimu hujayataja.

Kwanza profesa hana mizizi Ya kisiasa Zanzibar na iangaliwe kikwazo cha kukosa suppoti ya wahafidhina...
Hoja yako ya pili ndio hoja kuu kwa wahafidhina wa unguja.

Prof Mbarawa ni mchapakazi mzuri ila asubiri kidogo mwaka huu tunampa tuliyemuandaa muda mrefu Dr. Hussein Mwinyi.

Prof yeye tutampa u makamu wa pili wa rais SMZ
 
Hiyo hoja ya pili haina mashiko hatumchagui Mtu/Rais kwa kigezo cha Ukabila, Dini, rangi wala Mkoa au Wilaya anayotoka bali tunazingatia Sifa, weledi na umahiri wa kuongoza Nchi hata kama wakitoka Pemba mara 10 lakini wana sifa zote watachaguliwa kuwa Rais tu!
Wewe ndio unasema hivyo ila kwa siasa za Visiwani hii ndio hoja kuu hasa kwa wahafidhina wa Unguja.

Wao marais wakitoka unguja 20 kwa kufatana sawa ila sio kwa wapemba.
 
Hoja yako ya pili ndio hoja kuu kwa wahafidhina wa unguja.

Prof Mbarawa ni mchapakazi mzuri ila asubiri kidogo mwaka huu tunampa tuliyemuandaa muda mrefu Dr. Hussein Mwinyi.

Prof yeye tutampa u makamu wa pili wa rais SMZ
Tulimuandaa
 
Mkuu umesahau. Uzee NI tatizo na kuishiwa kumbukukumbu. Kama ni kijana hujui hata historia. Karume Senior alitokea wilaya ya Mjini. Jumbe wa awamu ya pili alitokea wilaya ya Mjini.

Mwinyi wa awamu ya tatu alitokea wilaya ya Mjini. Wakil aesmu ya nne alitokea Kusini Unguja, Salmin awamu ya tano Kuskazini A, Karume junior awamu ya sita alitokea Mjini na Sheni Mkoani Pemba.
Kwa ufahamu wangu. Karume Senior tulifundishwa kwao Mwera. Mwera so MJINI ni Maghrib .
Ama kwa hoja yako hiyo maraisi wote wametokea MJINI maana ndipo walipo upatia uteule


Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom