kiss daniel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 758
- 2,062
Aman iwe juu yenu
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Leo nimekuletea uchambuz ili ujue ni kwanini kaka yetu aliwezana na wasanii wachanga na akishindwana kabisa na wasanii wakongwe
Msanii mchanga ni rahis sana kuteka akili yake hata akiwa kwenye top, unaweza kumletea demu mkali tu na ukamulipia gest house
Unaweza hata kumlipia ticket ya ndege na kumpa laki mbili kisha akapiga show
Kwake pesa siyo kigezo cha kwanza Ila umarufu, pombe na mademu wakali wenye majina
Kuna line moja ya fidq inasema watakupa pesa ya kula na mafake ladies kisha utaenda zako so why no pamanent artist
Ujanja wa ruge alikuwa anakutumia ukiwa star mchanga hujaijua pesa na ukishituka tu kuwa unaibiwa hivyo unataka ulipwe kulingana na mziki wako anakutema na kukutema mfano king zila na wengine wengi hapo utabak na jina tu maana huna pesa na huna mademu mwisho wa siku mawazo na kuingia kwenye madawa ya kulevya
Msanii mkongwe hataki hela ya kula wala hataki mademu yeye anataka mkwanja na si bla bla
Diamomd kwa Mara ya kwanza walimpa mademu na pesa ya kula lakin aliposhituka na kugundua kuwa hataki hela ya kula wa mademu Bali anataka pesa kila show 10milion hapo ndo kasheshe ilipoanzia
Ugomvi wa diamond na ruge ni mkubwa sana mfano kama ugomvi wa sir God na Satan
Siku zote mtu anayezuia riziki yako na kutaka kukutoa kwenye kiti huwez muelewa hata kidogo
Ndo maana Mungu hampend shetan sababu alitaka kumtoa kwenye kiti cha enzi ili akae yeye
Ni hayo tu
NEW YORK BOY
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Leo nimekuletea uchambuz ili ujue ni kwanini kaka yetu aliwezana na wasanii wachanga na akishindwana kabisa na wasanii wakongwe
Msanii mchanga ni rahis sana kuteka akili yake hata akiwa kwenye top, unaweza kumletea demu mkali tu na ukamulipia gest house
Unaweza hata kumlipia ticket ya ndege na kumpa laki mbili kisha akapiga show
Kwake pesa siyo kigezo cha kwanza Ila umarufu, pombe na mademu wakali wenye majina
Kuna line moja ya fidq inasema watakupa pesa ya kula na mafake ladies kisha utaenda zako so why no pamanent artist
Ujanja wa ruge alikuwa anakutumia ukiwa star mchanga hujaijua pesa na ukishituka tu kuwa unaibiwa hivyo unataka ulipwe kulingana na mziki wako anakutema na kukutema mfano king zila na wengine wengi hapo utabak na jina tu maana huna pesa na huna mademu mwisho wa siku mawazo na kuingia kwenye madawa ya kulevya
Msanii mkongwe hataki hela ya kula wala hataki mademu yeye anataka mkwanja na si bla bla
Diamomd kwa Mara ya kwanza walimpa mademu na pesa ya kula lakin aliposhituka na kugundua kuwa hataki hela ya kula wa mademu Bali anataka pesa kila show 10milion hapo ndo kasheshe ilipoanzia
Ugomvi wa diamond na ruge ni mkubwa sana mfano kama ugomvi wa sir God na Satan
Siku zote mtu anayezuia riziki yako na kutaka kukutoa kwenye kiti huwez muelewa hata kidogo
Ndo maana Mungu hampend shetan sababu alitaka kumtoa kwenye kiti cha enzi ili akae yeye
Ni hayo tu
NEW YORK BOY
Sent using Jamii Forums mobile app