Kaa utulie dogo...akili zako za kuwaza uandike nini kuhusu Simba daily tena pumba tupu..huwezi kuwa na akili ya kutafuta hela wewe...njoo nikulee ule ushibe uende chooni..ili ushinde jf vzuri ..Labda umeenda Dubai ya Namtumbo [emoji23][emoji23]
AaahaaaKila nikipita mitandaoni Huwa nacheka sana kuona makolo [emoji250] [emoji250] wakifarijiana Kwamba wataenda semi final there for wamtoe Al ahly hizi ni ndoto za abunwasi ( waste of time)
Yaani timu inayoshika nafasi ya tatu ndio ikamtoe Al ahly bingwa wa Egypt???? ...tuache utani kabisa....
Kwa defense mbovu ya. Simba tegemea kuwa Percy Tau ataondoka na magoli sio chini ya 5 [emoji113] then bado yule mchezaji mwenye manywele nae atapiga 3
Nb: kama tu Yanga ( bingwa) alisumbuliwa na Al ahly.....Je huyu mshindi wa 3 ( kolo) ....sindo atakula kichapo Cha 8-0 ...then taifa litaaibishwa [emoji22][emoji22]View attachment 2942322
Mkuu ..vp utajisikiaje ...pale utakapo jua kua kumbe Mimi ndo Mo DewjKaa utulie dogo...akili zako za kuwaza uandike nini kuhusu Simba daily tena pumba tupu..huwezi kuwa na akili ya kutafuta hela wewe...njoo nikulee ule ushibe uende chooni..ili ushinde jf vzuri ..
HAhahahahahah 🤣 🤣 Mo Dewji rapa...Mkuu ..vp utajisikiaje ...pale utakapo jua kua kumbe Mimi ndo Mo Dewj
Kama yapi mkuu....mbona nchi Iko shwari .... tunaishi peacefullyWatz mko serious sana na mpira wa simba na yanga ila mambo ya msingi katika maisha wala hamjadili.Nchi hii mambo ya hovyo hovyo ndio mengi.
Je Simba wlimtoa Al ahlyMashabiki wa Yanga ni wajinga sana,hawajui mpira unadunda,hiyo hiyo Simba mbovu ilicheza na Al Ahly African football cup ikatoka 2-2 dar na kutoka 1-1 Misri na ilikuwa kama hii, hiyo hiyo Yanga ilicheza na makundi na Al Ahly wakatoka 1-1 Dar na kufungwa Misri.
Hawakumtoa lakini hawakufungwa,wewe ambaye unajisifu una timu nzuri mbona alikufunga kwao? Huo ndo ujinga wenyeweJe Simba wlimtoa Al ahly