Uchambuzi: Simba atapigwa 3-0 na Power Dynamo

Vipi kama wanacheza Kwa kuficha strategies zao .....Ili mnyama aingie kingi
 
Wahi milembe kabla hujaanza kuokota makopo na kupiga watu mawe, uchizi una kunyemelea
 
Simba kutokana na kuwa na ulinzi dhaifu wataruhusu goli 3 pia kutokana na kuwa na wafungaji tia maji tia maji .......hawatapata goali hata la offside
Ungeahidi kabisa kuwa matokeo yasipokuwa hivyo, ufanywe nini, utoe 0713 au utembee bila nguo au uazimishe mke wako kwa siku mbili
 
Huu uchambuzi ni sahihi 100%. Wenzetu nyumbani Huwa wanashindilia goli za kutosha! Goli zote 3 zitafungwa first half!
My bet ni Simba kutolewa round ya kwanza, hili nina hakika nalo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…