Haya mkuu kama inaonekana huu ushindi umekuumiza nenda pharmacy mwambie unaomba GOFEN unywe kidonge kimoja mpaka kesho tenaMimi sina timu hapa bongo Mzee[emoji23]
Nadhani unaujua mchango wetu wachambuziHaya mkuu kama inaonekana huu ushindi umekuumiza nenda pharmacy mwambie unaomba GOFEN unywe kidonge kimoja mpaka kesho tena
Kuhusu kufika golini sio excuse ya defend hoja .......lazima tuonyeshe kuwa tupo uwanjani .....Mechi ya nyumbani kwao bila Bocco na kufakisha tulikuwa tunasare au kushinda kabisa
Kama unafikiri walikuwa wamekubaliana wafungwe, kwanini walikuwa wana maindiana wao kwa wao pindi wanapokosa nafasi wakati plan yao ilikuwa kufungwa?
Kwanini walikuwa wanatumia nguvu kubwa kufika golini kwa Manula kufanya mashambulizi?
Chama yupo kwenye peak ya ubora wake ana dive na kufanya spinning za hapa na pale halafu we unasema less motivated?
Kama game ilikuwa ni Horoya kucheza vibaya ili wamfelishe boss wao, unafikiri kocha wa Taifa stars alikuwa mjinga kuwaita pembeni shabalala na Kapombe?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeee kwa kutesekaaa, mmeshangazwaa na kufurahishwaaa.Mimi sina timu hapa bongo Mzee[emoji23]