Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Kwa wenye macho makini ya kiuchambuzi najua watakua wameona Jana kilichofanyika ni kuwa horoya walikuwa less motivated, hivyo kupelekea kuwa wazito mchezoni. Sababu ya kuwa less motivated ni kuwepo Kwa mgogoro baina ya kiongozii wao aliye ahidi pesa ndefu but hajawapa hivyo wlikasilika na kuamua kuwapa ushindi koloz
Hasara
Huku robo fainali tutegemee kupokea kichapo kama walichopokea horoya timu za huko znatisha
Hongereni Kwa kaushindi
Hasara
Huku robo fainali tutegemee kupokea kichapo kama walichopokea horoya timu za huko znatisha
Hongereni Kwa kaushindi