Uchambuzi: Simba huko robo fainali tujiandae kupata aibu

Huku robo fainali tutegemee kupokea kichapo kama walichopokea horoya timu za huko znatisha
Kwani si tulikubaliana kwamba Simba haitaingia robo fainali ya CAF CL (sio shirikisho)? Imekuwaje tena useme itapata aibu robo fainali wakati haitaingia? Hebu tujikumbushe kauli yako bwana mchambambuzi:

Leo Simba watashinda njaa tu
 
Wewe kama utopolo hiyo aibu inakuhusu vipi?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…