Uchambuzi: Simba ni ngumu kwenda robo fainali, soma Kwa umakini

Uchambuzi: Simba ni ngumu kwenda robo fainali, soma Kwa umakini

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Simba wasipokuwa makini hawendi robo fainali, wanaenda kucheza dhidi ya Bravos wenye alama sita, kama ikitokea Bravos akashinda, atafikisha alama 9 sawa na Simba na mchezo wa mwisho Bravos anamaliza na kibonde Csfaxien Na Bravos atafikisha Alama 12

Wakati Simba anamaliza na Constatine ambaye huenda atakuwa ameshafuzu kwasababu Constatine anaenda kucheza na kibonde Csfaxien

AMESEMA SALAMA NGALE mchambuzi wa soka

1736237166460.jpg
 
Simba wasipokuwa makini hawendi robo fainali, wanaenda kucheza dhidi ya Bravos wenye alama sita, kama ikitokea Bravos akashinda, atafikisha alama 9 sawa na Simba na mchezo wa mwisho Bravos anamaliza na kibonde Csfaxien Na Bravos atafikisha Alama 12

Wakati Simba anamaliza na Constatine ambaye huenda atakuwa ameshafuzu kwasababu Constatine anaenda kucheza na kibonde Csfaxien

AMESEMA SALAMA NGALE mchambuzi wa soka

View attachment 3194716
Sawa dada angu Salama Ngale.
 
Ukweli huu hapa ..
Ili Simba afuzu kirahisi kabisa ASIPOTEZE GAME YA BRAVO...
Apate sare tu inatosha akishinda itakua Bora zaidi maana atakua ameshafuzu Moja kwa moja...
Ila akipoteza itakua ni balaa
hivi unamjua Bravo akicheza ugenini anakuaje yan hamna kazi pale so naamini ata game ya mwisho atafungwa na csfaxien mana atakua ugenini na sfaxien hawaz maliza hi hatua hana point na kwa kuchukua ni Bravo akienda kwao,,na Bravo anaruhusu sana magoli sidhan kama atatoka kwa mwarabu
 
Simba wasipokuwa makini hawendi robo fainali, wanaenda kucheza dhidi ya Bravos wenye alama sita, kama ikitokea Bravos akashinda, atafikisha alama 9 sawa na Simba na mchezo wa mwisho Bravos anamaliza na kibonde Csfaxien Na Bravos atafikisha Alama 12

Wakati Simba anamaliza na Constatine ambaye huenda atakuwa ameshafuzu kwasababu Constatine anaenda kucheza na kibonde Csfaxien

AMESEMA SALAMA NGALE mchambuzi wa soka

View attachment 3194716
'kama akishinda Bravos '
 
Simba wasipokuwa makini hawendi robo fainali, wanaenda kucheza dhidi ya Bravos wenye alama sita, kama ikitokea Bravos akashinda, atafikisha alama 9 sawa na Simba na mchezo wa mwisho Bravos anamaliza na kibonde Csfaxien Na Bravos atafikisha Alama 12

Wakati Simba anamaliza na Constatine ambaye huenda atakuwa ameshafuzu kwasababu Constatine anaenda kucheza na kibonde Csfaxien

AMESEMA SALAMA NGALE mchambuzi wa soka

View attachment 3194716
Yani hesabu mmepigia katika engo ya kumkandia simba
 
Simba wasipokuwa makini hawendi robo fainali, wanaenda kucheza dhidi ya Bravos wenye alama sita, kama ikitokea Bravos akashinda, atafikisha alama 9 sawa na Simba na mchezo wa mwisho Bravos anamaliza na kibonde Csfaxien Na Bravos atafikisha Alama 12

Wakati Simba anamaliza na Constatine ambaye huenda atakuwa ameshafuzu kwasababu Constatine anaenda kucheza na kibonde Csfaxien

AMESEMA SALAMA NGALE mchambuzi wa soka

View attachment 3194716
Simba anatakiwa kupata sare au ushindi na Bravos vinginevyo itakuwa imeisha hiyo.

Simba hana uwezo wa kumfunga CS labda ataambulia sare.

So pona pona ya Simba ni apate sare zote 2.

Wale wengine kina Uto washajikatia tamaa hawana hata matumaini 😂😂
 
Ukweli huu hapa ..
Ili Simba afuzu kirahisi kabisa ASIPOTEZE GAME YA BRAVO...
Apate sare tu inatosha akishinda itakua Bora zaidi maana atakua ameshafuzu Moja kwa moja...
Ila akipoteza itakua ni balaa
Akipata sare haimsaidii Hadi game ya mwisho maana Bravos akishinda atakuwa na 10 kama Simba.

Sare 2 zitamvusha ila Moja haitoshi.
 
Simba wasipokuwa makini hawendi robo fainali, wanaenda kucheza dhidi ya Bravos wenye alama sita, kama ikitokea Bravos akashinda, atafikisha alama 9 sawa na Simba na mchezo wa mwisho Bravos anamaliza na kibonde Csfaxien Na Bravos atafikisha Alama 12

Wakati Simba anamaliza na Constatine ambaye huenda atakuwa ameshafuzu kwasababu Constatine anaenda kucheza na kibonde Csfaxien

AMESEMA SALAMA NGALE mchambuzi wa soka

View attachment 3194716
Bravo anatakiwa kushinda kwa goli mbili najua mechi ya mwisho kwake itakuwa rahisi,kwanza wale watunisia washatoka na pili wanahasira na baada ya mechi ya Mkapa sizani kama watakaza. Ila kama wakipata droo watafuzu huku kwa mkapa inabakia vita ya kugombania nafasi ya kwanza.
 
Back
Top Bottom