Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndoto nyevu hiyohivi unamjua Bravo akicheza ugenini anakuaje yan hamna kazi pale so naamini ata game ya mwisho atafungwa na csfaxien mana atakua ugenini na sfaxien hawaz maliza hi hatua hana point na kwa kuchukua ni Bravo akienda kwao,,na Bravo anaruhusu sana magoli sidhan kama atatoka kwa mwarabu
Kheeee..!!! We mtu ana point 0, achia mbali kuwa wa mwisho, bado unaona siyo kibonde..!!Na wewe akili zako zinakuambia Cs Saxfien ni kibonde.
Watashinda mechi zote 2Sahihi lkn Je wataweza
Yanga lazima atinge robo finalSimba anatakiwa kupata sare au ushindi na Bravos vinginevyo itakuwa imeisha hiyo.
Simba hana uwezo wa kumfunga CS labda ataambulia sare.
So pona pona ya Simba ni apate sare zote 2.
Wale wengine kina Uto washajikatia tamaa hawana hata matumaini [emoji23][emoji23]
Kwa Simba inayoshinda kagoli kamojaBravo anatakiwa kushinda kwa goli mbili najua mechi ya mwisho kwake itakuwa rahisi,kwanza wale watunisia washatoka na pili wanahasira na baada ya mechi ya Mkapa sizani kama watakaza. Ila kama wakipata droo watafuzu huku kwa mkapa inabakia vita ya kugombania nafasi ya kwanza.
Achia mbali swala la engooo..!!! Mnaweza kosa robo hivi hivi miwa mnajionaYani hesabu mmepigia katika engo ya kumkandia simba