Sawa dada angu Salama Ngale.Simba wasipokuwa makini hawendi robo fainali, wanaenda kucheza dhidi ya Bravos wenye alama sita, kama ikitokea Bravos akashinda, atafikisha alama 9 sawa na Simba na mchezo wa mwisho Bravos anamaliza na kibonde Csfaxien Na Bravos atafikisha Alama 12
Wakati Simba anamaliza na Constatine ambaye huenda atakuwa ameshafuzu kwasababu Constatine anaenda kucheza na kibonde Csfaxien
AMESEMA SALAMA NGALE mchambuzi wa soka
View attachment 3194716
hivi unamjua Bravo akicheza ugenini anakuaje yan hamna kazi pale so naamini ata game ya mwisho atafungwa na csfaxien mana atakua ugenini na sfaxien hawaz maliza hi hatua hana point na kwa kuchukua ni Bravo akienda kwao,,na Bravo anaruhusu sana magoli sidhan kama atatoka kwa mwarabuUkweli huu hapa ..
Ili Simba afuzu kirahisi kabisa ASIPOTEZE GAME YA BRAVO...
Apate sare tu inatosha akishinda itakua Bora zaidi maana atakua ameshafuzu Moja kwa moja...
Ila akipoteza itakua ni balaa
'kama akishinda Bravos 'Simba wasipokuwa makini hawendi robo fainali, wanaenda kucheza dhidi ya Bravos wenye alama sita, kama ikitokea Bravos akashinda, atafikisha alama 9 sawa na Simba na mchezo wa mwisho Bravos anamaliza na kibonde Csfaxien Na Bravos atafikisha Alama 12
Wakati Simba anamaliza na Constatine ambaye huenda atakuwa ameshafuzu kwasababu Constatine anaenda kucheza na kibonde Csfaxien
AMESEMA SALAMA NGALE mchambuzi wa soka
View attachment 3194716
Yani hesabu mmepigia katika engo ya kumkandia simbaSimba wasipokuwa makini hawendi robo fainali, wanaenda kucheza dhidi ya Bravos wenye alama sita, kama ikitokea Bravos akashinda, atafikisha alama 9 sawa na Simba na mchezo wa mwisho Bravos anamaliza na kibonde Csfaxien Na Bravos atafikisha Alama 12
Wakati Simba anamaliza na Constatine ambaye huenda atakuwa ameshafuzu kwasababu Constatine anaenda kucheza na kibonde Csfaxien
AMESEMA SALAMA NGALE mchambuzi wa soka
View attachment 3194716
Simba anatakiwa kupata sare au ushindi na Bravos vinginevyo itakuwa imeisha hiyo.Simba wasipokuwa makini hawendi robo fainali, wanaenda kucheza dhidi ya Bravos wenye alama sita, kama ikitokea Bravos akashinda, atafikisha alama 9 sawa na Simba na mchezo wa mwisho Bravos anamaliza na kibonde Csfaxien Na Bravos atafikisha Alama 12
Wakati Simba anamaliza na Constatine ambaye huenda atakuwa ameshafuzu kwasababu Constatine anaenda kucheza na kibonde Csfaxien
AMESEMA SALAMA NGALE mchambuzi wa soka
View attachment 3194716
Akipata sare haimsaidii Hadi game ya mwisho maana Bravos akishinda atakuwa na 10 kama Simba.Ukweli huu hapa ..
Ili Simba afuzu kirahisi kabisa ASIPOTEZE GAME YA BRAVO...
Apate sare tu inatosha akishinda itakua Bora zaidi maana atakua ameshafuzu Moja kwa moja...
Ila akipoteza itakua ni balaa
Bravo anatakiwa kushinda kwa goli mbili najua mechi ya mwisho kwake itakuwa rahisi,kwanza wale watunisia washatoka na pili wanahasira na baada ya mechi ya Mkapa sizani kama watakaza. Ila kama wakipata droo watafuzu huku kwa mkapa inabakia vita ya kugombania nafasi ya kwanza.Simba wasipokuwa makini hawendi robo fainali, wanaenda kucheza dhidi ya Bravos wenye alama sita, kama ikitokea Bravos akashinda, atafikisha alama 9 sawa na Simba na mchezo wa mwisho Bravos anamaliza na kibonde Csfaxien Na Bravos atafikisha Alama 12
Wakati Simba anamaliza na Constatine ambaye huenda atakuwa ameshafuzu kwasababu Constatine anaenda kucheza na kibonde Csfaxien
AMESEMA SALAMA NGALE mchambuzi wa soka
View attachment 3194716
Umesahau MTIBWASimba anashinda mechi zote zilizobaki, Simba na yanga zote zitafuzu robo fainali.
Mtibwa ni kitu gani na inahusu nini ebu elezea kidogo mkuu.Umesahau MTIBWA
Akipata sare haimsaidii Hadi game ya mwisho maana Bravos akishinda atakuwa na 10 kama Simba.
Sare 2 zitamvusha ila Moja haitoshi.
Ain't that the same with everything in life ?!!!Simba wasipokuwa makini hawendi robo fainali,
Mkienda kupigwa huko Angola? Hakuna Cha head to head Bali mwenye magoli mengi ya kufunga na kufungwa.Sare Kwa Mnyama atakuwa Kapita..
Atafikisha 10, Bravo tuseme naye Ya mwisho akashinda atakuwa na 10..
Sasa hapo Wanaangalia head to head ...
Hivyo, nafasi Kwa Mnyama ni kubwa..