Uchambuzi: Ukiangalia Kwa makini Simba Hana makosa Wala Yanga hawana makosa

Uchambuzi: Ukiangalia Kwa makini Simba Hana makosa Wala Yanga hawana makosa

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
MOVIE BADO NGUMU SANA

SIMBA

SIMBA hawezi kunyimwa point tatu Kwa sababu hakuenda uwanjani Kwa barua ya bodi ya ligi iliyoghairisha mechi.
Endapo utampa Yanga point 3 Basi elewa Simba atakushtaki kwasababu hakuingia uwanjani kwa Agizo la barua ya Bodi iliyotoka mchana.

YANGA
Yanga anadai point 3 mana kanuni ya kughairisha mechi iliyotumika sio. Hakuna kifungu cha kanuni cha kughairisha mechi kwa kuizuia timu mgeni kufanya mazoezi. Pili huwezi kughairisha mechi masaa 3 kabla ya mchezo Sheria ni 48. Vinginevyo kuwe kumetokea majanga kwenye timu kama ajali au kifoo.

Kwenda Kwa Yanga uwanjani ilikuwa ni kukamilisha taratibu zoote za mchezo ili Wadai walichokidai kwenye tamko lao.

BODI YA LIGI

Hata ikiwa ni kweli YANGA waliwazuia kimakusudi Simba kufanya mazoezi kanuni hazisemi kuwa adhabu ni kughairisha Mechi Bali ilikuwa mechi ichezwe then Kamati ya masaa 72 ikae iwape adhabu Yanga faini iliyo kwenye kanuni.

HAPA KWA YALE MAAMUZI BODI WAMEPUYANGA

ILI MECHI ICHEZWE

Ingekuwa mwenyeji ni Simba angemualika RAIS SAMIA Kuwa mgeni rasmi ingekuwa vigumu Kwa Yanga kutokuja uwanjani. Ila Sasa sio mwenyeji

Kuchezwa Kwa mechi naona kama ni IMPOSSIBLE FUTURE TENSE

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
MOVIE BADO NGUMU SANA

SIMBA

SIMBA hawezi kunyimwa point tatu Kwa sababu hakuenda uwanjani Kwa barua ya bodi ya ligi iliyoghairisha mechi.
Endapo utampa Yanga point 3 Basi elewa Simba atakushtaki kwasababu hakuingia uwanjani kwa Agizo la barua ya Bodi iliyotoka mchana.

YANGA
Yanga anadai point 3 mana kanuni ya kughairisha mechi iliyotumika sio. Hakuna kifungu cha kanuni cha kughairisha mechi kwa kuizuia timu mgeni kufanya mazoezi. Pili huwezi kughairisha mechi masaa 3 kabla ya mchezo Sheria ni 48. Vinginevyo kuwe kumetokea majanga kwenye timu kama ajali au kifoo.

Kwenda Kwa Yanga uwanjani ilikuwa ni kukamilisha taratibu zoote za mchezo ili Wadai walichokidai kwenye tamko lao.

BODI YA LIGI

Hata ikiwa ni kweli YANGA waliwazuia kimakusudi Simba kufanya mazoezi kanuni hazisemi kuwa adhabu ni kughairisha Mechi Bali ilikuwa mechi ichezwe then Kamati ya masaa 72 ikae iwape adhabu Yanga faini iliyo kwenye kanuni.

HAPA KWA YALE MAAMUZI BODI WAMEPUYANGA

ILI MECHI ICHEZWE

Ingekuwa mwenyeji ni Simba angemualika RAIS SAMIA Kuwa mgeni rasmi ingekuwa vigumu Kwa Yanga kutokuja uwanjani. Ila Sasa sio mwenyeji

Kuchezwa Kwa mechi naona kama ni IMPOSSIBLE FUTURE TENSE

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Good thinking
 
Mie nataka niwaone hao utopolo wakigomea hiyo mechi
Kwaani mara ya kwanza yanga kugomea kisheria?? Au huwajui vizuri yanga??

Malalamiko ya Simba yalipaswa kuwa baada ya mechi. Namungo alivyoonewa refa si walitaka kutoa timu Sheria ikawabana wakarudi uwanjani na walifungwa kwa maamzi mabovu ya refa baada ya msaa 72 kadi ikafutwa na kamati
 
Nadhani TFF ianze kwa kuvunja Bodi ya Ligi. Iundwe nyingine yenye watu wa heshima na wanaokubalika kisoka. Hiyo Bodi mpya ikae na timu zote na wadau wote muhimu washauriane way forward kwa njia za busara, sio kwa mujibu wa kanuni.
 
Kwaani mara ya kwanza yanga kugomea kisheria?? Au huwajui vizuri yanga??

Malalamiko ya Simba yalipaswa kuwa baada ya mechi. Namungo alivyoonewa refa si walitaka kutoa timu Sheria ikawabana wakarudi uwanjani na walifungwa kwa maamzi mabovu ya refa baada ya msaa 72 kadi ikafutwa na kamati
Ni kweli mkuu

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Nadhani TFF ianze kwa kuvunja Bodi ya Ligi. Iundwe nyingine yenye watu wa heshima na wanaokubalika kisoka. Hiyo Bodi mpya ikae na timu zote na wadau wote muhimu washauriane way forward kwa njia za busara, sio kwa mujibu wa kanuni.
Sahihi bila board kuvunjwa ....italeta picha mbaya Kwa timu zingine

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
U
MOVIE BADO NGUMU SANA

SIMBA

SIMBA hawezi kunyimwa point tatu Kwa sababu hakuenda uwanjani Kwa barua ya bodi ya ligi iliyoghairisha mechi.
Endapo utampa Yanga point 3 Basi elewa Simba atakushtaki kwasababu hakuingia uwanjani kwa Agizo la barua ya Bodi iliyotoka mchana.

YANGA
Yanga anadai point 3 mana kanuni ya kughairisha mechi iliyotumika sio. Hakuna kifungu cha kanuni cha kughairisha mechi kwa kuizuia timu mgeni kufanya mazoezi. Pili huwezi kughairisha mechi masaa 3 kabla ya mchezo Sheria ni 48. Vinginevyo kuwe kumetokea majanga kwenye timu kama ajali au kifoo.

Kwenda Kwa Yanga uwanjani ilikuwa ni kukamilisha taratibu zoote za mchezo ili Wadai walichokidai kwenye tamko lao.

BODI YA LIGI

Hata ikiwa ni kweli YANGA waliwazuia kimakusudi Simba kufanya mazoezi kanuni hazisemi kuwa adhabu ni kughairisha Mechi Bali ilikuwa mechi ichezwe then Kamati ya masaa 72 ikae iwape adhabu Yanga faini iliyo kwenye kanuni.

HAPA KWA YALE MAAMUZI BODI WAMEPUYANGA

ILI MECHI ICHEZWE

Ingekuwa mwenyeji ni Simba angemualika RAIS SAMIA Kuwa mgeni rasmi ingekuwa vigumu Kwa Yanga kutokuja uwanjani. Ila Sasa sio mwenyeji

Kuchezwa Kwa mechi naona kama ni IMPOSSIBLE FUTURE TENSE

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Uchambuzi uchwara. Bora ukachambue maharagwe
 
Kwenda Kwa Yanga uwanjani ilikuwa ni kukamilisha taratibu zoote za mchezo ili Wadai walichokidai kwenye tamko lao.
Nawashangaa mnaosema taratibu zote za mchezo, wakati anayeanzisha na kukamilisha taratibu hizo ni mwamuzi. Mwamuzi anatakiwa akague timu iliyopo uwanjani, asubiri dakika 15 timu pinzani ifike, isipofika anamaliza pambano. Sasa je, hiyo juzi mwamuzi gani aliyekuwapo akakagua timu na kumaliza pambano?
 
Back
Top Bottom