Msolo JF-Expert Member Joined Oct 19, 2008 Posts 2,713 Reaction score 3,559 Mar 10, 2025 #21 Labani og said: Hata ikiwa ni kweli YANGA waliwazuia kimakusudi Simba kufanya mazoezi kanuni hazisemi kuwa adhabu ni kughairisha Mechi Bali ilikuwa mechi ichezwe then Kamati ya masaa 72 ikae iwape adhabu Yanga faini iliyo kwenye kanuni. Click to expand... Hapa ndio bodi ya hovyo ya ligi, ilipopuyanga, kanuni ziko wazi.
Labani og said: Hata ikiwa ni kweli YANGA waliwazuia kimakusudi Simba kufanya mazoezi kanuni hazisemi kuwa adhabu ni kughairisha Mechi Bali ilikuwa mechi ichezwe then Kamati ya masaa 72 ikae iwape adhabu Yanga faini iliyo kwenye kanuni. Click to expand... Hapa ndio bodi ya hovyo ya ligi, ilipopuyanga, kanuni ziko wazi.
R Right eye JF-Expert Member Joined Sep 6, 2022 Posts 1,149 Reaction score 1,994 Mar 10, 2025 #22 bullar said: Hapo hakuna bodi ya ligi kuna bodi ya bajaji Click to expand... Tena ni bodi ya bajaji ambayo imechoshwa na maji ya chumvi ya dar
bullar said: Hapo hakuna bodi ya ligi kuna bodi ya bajaji Click to expand... Tena ni bodi ya bajaji ambayo imechoshwa na maji ya chumvi ya dar
0 004 Member Joined Sep 12, 2024 Posts 81 Reaction score 123 Mar 10, 2025 #23 hii mechi itachezwa bingwa akishajulikana